Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
Wewe unayejua inapaswa utuambie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una mambo ya kitoto Sana dogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NI KWELI KABISA UKISHA GONGAGA NDUMU LAZIMA UJIONE BONGE.
Ushauri:
Acha bange unaelekea kubaya.
Ohooooo!!!Chuo kaenda kusindikiza wenzake.Huyu c ndo alisema ana supply 5 kati ya 8?
Ushasema app..coz app ni kitu kilichobuniwaTumia application ya mirror kwenye simu ndo utajua sura yako halisi
Hasa vioo vyenye lens mbinuko ndo utajielewa mkuuHatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
Supply? Sup?Huyu c ndo alisema ana supply 5 kati ya 8?
Kuna siku nilikwambia acha utoto,kama unakumbuka fuatilia comment za watu halafu jitafakari zaidi mwenendo wako. Baada ya hapo utajua ni utoto gani nilikwambia unaoWewe unayejua inapaswa utuambie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] endelea hivyo hivyo kuamini huenda imani yako ikaamisha mlimaFactor mbili ambazo zinaonyesha huyu dogo anamiliki ID mbili HR 666 na Yeezus
>>Yeezus hua anajitokeza baadaa ya hr 666 kupewa ban halafu ka yeezus kanaanza kumtetea kwamba wanajf ndio tunasababissha apate ban, akitoka ban Yeezus huwez kumuona tena humu.. Psychologically ukiangalia maandishi, jinsi yeezus anavyo sound ni hr 66 mtupu.
>>> HR 666 ana mfollow mtu mmoja anaitwa 24hrs na Yeezus anamfolow huyo huyo na wote wana following na follower mmoja tu
Mkuu wangu, akiwa serious sana kwani anataka agundue mbingu?Nafuatilia mada zako unaonekana unatatizo la mfumo wa kufikiria.
Ushauri:
Jaribu kuwa siriasi kwa kila ulifanyalo Kama mwanaume.