Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Inapaswa kuwa zote lakini baadhi kuna uzembe wa walinzi.Siyo ATM zote
Nimeshauli unapofunga juu, na chini pia weka, zimulike kotekote, huyo atakaye spray inakuwa ishamnasaMkuu zikiwekwa chini zitapigwa spray unaona ukungu tu
Bora kila mteja awe anapewa suma wake wakuzunguka nae akiwa mall
Oooh na wavaa ushungi ninja nao vipi maana dini hairuhusu mwanaume tofauti na Mme kuona kichwa! Unaanzaje kumvua jishungiInapaswa kuwa zote lakini baadhi kuna uzembe wa walinzi.
Mageti yenyewe mda wote yanapiga alarm tena mostly mashine ziko busy kuingia lakini siyo kutokaKitu kipya kinaibiwa vipi huko kwenye Malls? Hata bila camera unaweza kukamata mwizi. Unafunga RFID tu kwa ku link na barcode ya bidhaa na alarms ya kila exit point. Mtu akitoka na bidhaa ambayo haijawa scanned automatically pale mlangoni alarm inaita, watu wa security wanamalizia kazi yao hapo.
Mkuu una point lakini!Nitawapa mfano;
Maeneo mengi sana siku hizi yamefungwa kamera!
Tembelea MALL zote hukosi idadi kubwa ya kamera!
Lakini ajabu, Pamoja na wingi wa kamera lakini bado ripoti za wizi na udokozi zinaendelea pasipo watuhumiwa kupatikana!
Mazingira ya matukio mengi yanayoripotiwa ukiangalia video (footage) zake zilivyo! Mwizi anaonekana anaingia mchana kweupe bila hata mask usoni lakini hajulikani kwa sura kamwe!
Wanachokifanya wezi kuanzia inje ya jengo, wanatembea wameinama kichwa chini bila kunyanyua kichwa, anaingia ndani katazama chini tu mwanzo mwisho, anatembea huku na kule kichwa chini, kama ni MALL anachukua SIMU, LAPTOP N.K Anaondoka na camera inamsindikiza hadi anatokomea!
Kwahiyo footage ya namna hii inachoambulia ni kumulika rangi za nguo tu! Sasa utamjuaje! Mtu katoka mbali wenye nguo kama zake wapo kibao! Kutambua ni vigumu mno.
Hivyo nadhani kuna umhimu wa kufunga pia CCTV CAMERA ZA CHINI CHINI (sakafuni) ili zimulike kwenda juu kama zipo!!
Haya ndo mawazo tunayotaka, sio kila siku kuhamasisha maandamano sijui tumeibiwa kura, chandimu shwain kabisaKitu kipya kinaibiwa vipi huko kwenye Malls? Hata bila camera unaweza kukamata mwizi. Unafunga RFID tu kwa ku link na barcode ya bidhaa na alarms ya kila exit point. Mtu akitoka na bidhaa ambayo haijawa scanned automatically pale mlangoni alarm inaita, watu wa security wanamalizia kazi yao hapo.
DuuuhKumbuka wanawake wa Dar hawavai chupi... Kuna nyuchi utashangaa zinavyotabasamu