Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Waruka na ungo usiku mnafeli wapi?
Kwanini ungo usitumike mchana na sio usiku kwanini umsiungane ukafanye sayansi yenu ikawe bora maana sayansi yenu bado ni duni means bado haina maboresho. Tunahitaji ungo uruke mchana na watu tusigeuzwe kuwa panya tubaki kuwa watu.
Hapa ndipo wachawi walipofeli. Kazi yao kukwamisha maendeleo na kwa akili zao zote kiruka kwenda sehemu ya mbali kwa dakika ila bado wanasafiri wanatumia nauli kubwa kwenda sehemu fulani Mchana.
Mchawi hata hawezi kwenda benk kuiba hela. Hapa kuna nini kwenye Ela na uchawi.
Kwanini ungo usitumike mchana na sio usiku kwanini umsiungane ukafanye sayansi yenu ikawe bora maana sayansi yenu bado ni duni means bado haina maboresho. Tunahitaji ungo uruke mchana na watu tusigeuzwe kuwa panya tubaki kuwa watu.
Hapa ndipo wachawi walipofeli. Kazi yao kukwamisha maendeleo na kwa akili zao zote kiruka kwenda sehemu ya mbali kwa dakika ila bado wanasafiri wanatumia nauli kubwa kwenda sehemu fulani Mchana.
Mchawi hata hawezi kwenda benk kuiba hela. Hapa kuna nini kwenye Ela na uchawi.