Nimegundua mwanamke wangu alizaa na aliyekua mpangaji wangu

Ntarudi
 
Achana na huyo mwanamke. Au endelea tutakusikia kwenye mitandao wamekuongezea jina la marehemu. Maana huyo mwanamke keshakwambia kuwa mzazi mwenzie ana fujo. Utakuja kutiwa kisu cha tumbo
 
Siku ukisikia yupo pale tokea kama umeenda kusalimia huyo dada tu kama mshikaji.

Yeye si alikudanganya kuwa hana mchepuko nje ya mkewe sasa atajielezea vema anafanya nini chumbani na mwanamke mwenye mtoto. Akikusemea kwa mkeo na wewe peleka taarifa za mtoto kwa mkewe halafu tuone nani atakae haribu.
 
Afu jamaa mwenyew na mkewe wote Ni wasabato haswa, mialiko yote kiti Moto huwa hali kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…