litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Baada yakusoma maandiko mbalimbali ya umughaka humu jukwaani,na kuvitazama kwa umakini visa vyake,nimegundua tunafanana kwa vingi
1. Ulofa
Mimi ni lofa sometimes hasa kwenye kudai hela,naweza tapeliwa hela yangu kirahisiraisi nanikachukulia poa,hali hii inafanya nionekane lofa sana,ingawq nafanya kwawema tu
2. Ushamba wa wanawake wenye makalio makubwa
Kwanza nkiri kwa kusema wanawake kikawaida,hasa awa wa,uswahilini wanatakiwa kumheshimu mno mwanaume mwenye ela
Unapokua na elana ukaona uheshimiwi au unatikisiwa kiberiti basi,jitafakari sana
Umughaka kwa ela zake hakuwa wakutishiwa kuachwana yule mwanamke. Ni wazi aligundua kua huyu mwanaume ana ela ila ni nimshamba,nanaweza kumuendesha,nitakavyo
Umughaka hakuwa wa kugomewa,eti sitaki kukaa siti yanyuma, ni wazi alishampima na kuona huyu mwanaume nimshamba ingawa ana ela.
Kwa ivyo tunafanana sana
Pia ishu ya kupiga show mpaka asubuhi tunafanana... Napendelea sana binafsi
Nb
Uzi wa utajiri wa rafiki yangu ukafanya nimuamini shetani ndipo nilipotoa reference hii Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini shetani
1. Ulofa
Mimi ni lofa sometimes hasa kwenye kudai hela,naweza tapeliwa hela yangu kirahisiraisi nanikachukulia poa,hali hii inafanya nionekane lofa sana,ingawq nafanya kwawema tu
2. Ushamba wa wanawake wenye makalio makubwa
Kwanza nkiri kwa kusema wanawake kikawaida,hasa awa wa,uswahilini wanatakiwa kumheshimu mno mwanaume mwenye ela
Unapokua na elana ukaona uheshimiwi au unatikisiwa kiberiti basi,jitafakari sana
Umughaka kwa ela zake hakuwa wakutishiwa kuachwana yule mwanamke. Ni wazi aligundua kua huyu mwanaume ana ela ila ni nimshamba,nanaweza kumuendesha,nitakavyo
Umughaka hakuwa wa kugomewa,eti sitaki kukaa siti yanyuma, ni wazi alishampima na kuona huyu mwanaume nimshamba ingawa ana ela.
Kwa ivyo tunafanana sana
Pia ishu ya kupiga show mpaka asubuhi tunafanana... Napendelea sana binafsi
Nb
Uzi wa utajiri wa rafiki yangu ukafanya nimuamini shetani ndipo nilipotoa reference hii Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini shetani