Nimehamia kijitonyama juzi jioni. Mke wangu amejifungua mwezi wa sita sasa anatakiwa kurudi kazini.
Maeneo haya ya Kijitonyama natafuta Mchawi anilelee mtoto wangu. Maana huwa nasikia wanasema "mchawi mpe mwana akulelee"
Je naweza pata mmoja?na bei zao huwa zinakuaje? Maana wakijua mi mgeni wasije wakataka kunipiga bei kubwa. Wife next week anatakiwa aanze kazi. Sijapata mtu wa kunilelea mwanangu