Nimehamia Tabata, tafadhali nipatieni fundi mzuri wa magari

Kiduku Lilo,
WAKUU, ACHENI KUMKEBEHI HUYU "BILIONEA"

MPENI MWONGOZO WA FUNDI WA KUMREKEBISHIA MIGUU YA MBELE YA TOYOTA_GX100 YAKE INAGONGAGONGA NA KUPIGA KELELE!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niwewe kweli au wamehack account yako,maana siyo aina yako ya post za kulialia
 
eti inapiga kelele kama ngoma za mdundiko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

ila jamaa ana kipaji fulani hivi comedian, pamoja na kumpuuza lakini nikianza kusoma nyuzi zake sichoki na lazima nimalize.

#eti gari haihitaji honi maana mita 200 inasikika.
WAKUU,

ACHENI KUMKEBEHI HUYU "BILIONEA",

MPENI MWONGOZO WA FUNDI WA KUMREKEBISHIA MIGUU YA MBELE YA TOYOTA_GX100 YAKE INAGONGAGONGA NA KUPIGA KELELE!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haaaaa haaaaa Nimecheka
 
Njoo hapa kituo cha chama kama unaenda mawenzi ulizia omary hutajuta au nicheki pm
 
huna akili wewe kwa Nini awarudushe Oscar na mugabo kwa nini wewe usiwafuate
 
Ahahaaaa
Mzee wa swaga anayeuchukia umasikini,
Kwani nini buana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…