Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Hapa nilianza kufanya utafiti kabla ya Kuja hamisha, nikapata evaluationHilo eneo jipya ulilohamia ulisoma mazingira yapoje kabla ya kuweka hiyo biashara yako??
Si kila eneo ni la kufanya biashara/project yoyote ile,.muhimu kujua watu wa eneo ulilopo wanataka nini na je mazingira ni rafiki,.?!
Ni kweli mkuu lakini nitajitahidi Maana hii location ni hatari sana katikati ya makutano ya barabara watu wanapita wengiMwanzo wowote ni mgumu huko ulipokuwa mwanzo ulikuwa umeshazoeleka na wateja ila sasa mpaka uchukue tena muda mrefu ndio utatengeneza wateja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mwaka tena babuBiashara ya saluni inahitaji angalau mwaka mmoja ndipo uweze kujua km umebugi eneo au lah....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta binti mrembo awe anazunguka zunguka kwa nje