Nimehitimisha, hakuna sehemu Tanzania hii nyama inaliwa kuliko mkoa wa Arusha.

Nimehitimisha, hakuna sehemu Tanzania hii nyama inaliwa kuliko mkoa wa Arusha.

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Peace be upon you all sons of Zion,

Nimepita na kuishi mikoa mingi ila nikiri kwa ulaji wa nyama Arusha ni kinara. Bila kua na takwinu rasmi lakini nadiriki kusema nyama inayoliwa Arusha inaweza kua mara mbili ya nyama inayoliwa na mikoa yote combined.
.
yani ni kawaida kukosa chakula sijui wali ugali nini na nini ila sio nyama. Kuna mtu zinakula nyama nyama nyama. Pombe inanyeka kwa wingi sanjari na nyama ila kwa kua mimi sio mdau wa mitungi habari ya mitungi sitaisemea.
 
Arusha ukitaka mtu akuue mwambie sijui nikukatie portion, huko kama mguu wa mbuzi ni mguu mzima kweli sio kama dar wanaukata kama mara 6
 
Wale vegetarianism people group "mboga mboga" tunahusika humu au tupite kimya kimya ....[emoji124][emoji848]
 
Back
Top Bottom