Nimeibiwa ATRIUMS hotel Sinza.

Hii si ile pembeni ya kona baa...haiuzi bia wala kilevi cha aina yoyote...inapokea wateja wa haraka na wa pole pole
 
Pale nje pana vyangudoa wengi sana sema ukweli hukuopoa wewe dada poa?
 
Mkuu unawakilisha kundi kubwa sana la watanzania. You just jump to conclusions without any critical analysis whatsoever.Tubadilike ndugu yangu.

Tubadilike kuacha uongo kwanza. Hii nyuzi inaonesha ni uongo.
 

Chacha Mwita nina wasiwasi na wewe yawezekana ulikuwa na kitu kutoka hapo Corner Bar ukakiacha ndani ya room ukaenda kununua chakula,ulipo rudi ukakuta umeibiwa ndo maana Shigongo anajibu hivyo baada ya kukuambia namjua mwizi.Wewe ukabali matoke na siri unaijua wewe.Vumilia kama MALIMA.....teteteteteteh.Ukuwa na AK-47?au sime?Pote pole sana Mura
 
Erick Shigongo nae ni mwizi tu, kumbuka maisha yake ya KIgali alitoroka Jela!
 

Pole sana kwa kuibiwa ki-malima malima ndugu yangu, and I can understand your frustration kwa tukio hili.
Sakata zima linaonyesha kuwa wizi ulikuwa an inside job, na wafanyakazi wanahusika, wangefahamuje kuwa kuna vita vya gharama na kuvitoa Kama si watu wandani ya hiyo Atrium Hotel.
Asante kwa kutujulisha Hilo kwani I have always suspected kuwa huyo Shigongo is a shady character na tabia aliyoionyesha ina confirm kuwa integrity Yake ni questionable.
Nilikuwa na wageni toka nje, na nitawa caution kwa hili sakata ki alitoa aibu.
Watanzania tunajaribu kuinuana lakini katika kibiana, Shigongo hapa lazima awekwe kwenye net kuwa Atriums ni pango la wezi.
 

ataachaje pesa reception wakati yeye anakula kuklekule hotelini kwenye restaurant ya hotel hajatoka nje, usimtetee huyu mlokole feki anatumia jina la Mungu kuficha maovu yake.
 
Kumbe erick anajifanya anamjua mungu ili afiche mabaya yake. mwangalieni anataka ubunge awamu ijayo ni kirusi hicho.
 
,
we nae mtu unaskia ana street university nawewe unaenda kulala kwake na mali?lazima wakufanyie praktiz
 
Pole sana, Hawakuchukua Sime au Panga??

Au wewe haukuwa na SMG ama Malima??
 
Mkuu pole sana,mimi nilshaibiwa hotelini dar na haki ya mungu siku hizi najiadhari kinoma,yaani niliibiwa nilipoenda kuoga asubuhi,na milango ilikuwa imefungwa kama kawaida ina maana ni wafanyakazi wa hoteli hiyo
 
Shigongo kasahau alivyokuwa anauza kabumba pale makoroboi Mwanza,kisa hivyo vijisenti,pia kwa kufanya alivyofanya anaiharibia soko hoteli yake,kwani kwa uwezo alionao angeweza kumlipa huyo mteja wake ili asiharibie jina la hotel yake,mi nilifikiri jamaa kaelimika na anajua misingi ya biashara kumbe buure kabsa,kumpata mteja ni rahisi lakini kumrudisha tena ni kazi kubwa
 
aliyeeniibia ni mfanyakazi wa hotelin hapo anaitwa Daudi, ni mpishi, nilitoa order kwake ya kula nikiwa mapokezi na nikampa muda kamili wa kula, na wakati huo kwa bahati mbaya aliona cash iliyokuwa kwenye wallet wakati nafungua kulipa bills zangu, kwa maelezo ya mlinzi, baada ya hapo Daudi alimpigia sim mfanyakazi wa zamani wa hapo hotelini anaeitwa Brayton, ambae aliachishwa kazi kwa ajili ya wizi vyumbani. huyo Brayton alifika hapo pale tu nilipoingia restaurant kula, aliongozana na Daudi hadi chumbani kwangu na kisha Daudi akamfungilia mlango wa nyuma jikoni akatokea huko, lilikuwa tendo la kama dakika 10 tu. Mazingira yaliochangia mie kuibiwa ni ugeni tu, nilikuwa na mke wangu wa ndoa ambaye sio raia wa Tanzania, tumekaa hapo siku 4 bila tatizo, niliamua kuwa na cash sabab nilihofia kadi yangu ya bank kutofanya kazi nchini, ni cash ambayo niliichukua airport Amsterdam nikiwa njiani kwenda DSM. Baada ya shigongo kuonyesha hana nia ya kutorudisha mali zetu, na mie sina haki mbele ya polis wetu kama Mtanzania ndipo mke wangu akapiga sim ubalozi wao kulalamika, ofisa wa ubalozi(sweden) ndie aliyetupa mwongozo wa kuonana na RCO wambura ambaye aliifunga kesi kuwa hana uwezo wa ku deal na Shigongo, akatupa na mifano mingi wa watu wengi ambao wameshaibiwa hapo ATRIUMS na hakuna linalotendeka. kuweni makini na hiyo Hotel wakuu. mbaya zaidi, karatasi niliyopewa kusign inn yenye masharti juu upotevu hotelini hapo, Shigongo aliichana ilipotakiwa na police. Aliichana kwa maksudi tu ili kuuwa ushahidi unaombana yeye kumlipa mteja! Ni mbaya saana wakuu.
 
ataachaje pesa reception wakati yeye anakula kuklekule hotelini kwenye restaurant ya hotel hajatoka nje, usimtetee huyu mlokole feki anatumia jina la Mungu kuficha maovu yake.

hiyo karatasi ya ku declare inambana yeye, na aliichana, meneja wake kaileta polisi vipande tu ikiwa inaonyesha jina langu, sahihi yangu, maelezo yote kuhusu kuwa na mali chumbani kayachana. bila hata aibu.
 

ATRIUMS ni pango la wezi, kamanda akiwa Shigongo mwenyewe, aliwaweka wafanyakazi wake 3 ndani, pamoja wezi 2 plus meneja wake, wezi wake anawajua wote sabab yeye ndio boss wao, naamin hata camera zangu ni yeye anayezitumia kwa sasa hivi.
 
Shigongo kama unamuabudu MUNGU nirudishie simu yangu tu, au chip iliyoko kwenye sim hiyo.
 
Nazidi kupata ufahamu ni kwanini alitemwa kwenye mchakato wa ubunge huko kwao sengerema. Tuwe makini aishie kujiongoza yeye na familia yake, kama kweli alidiriki kunena matamshi hayo ya dharau na uzalilishaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…