Wandugu kuna ndugu yangu kaibiwa fedha zimechotwa kwenye account yake na kuwekwa kwenye account za watu wawili tofauti, Hili limetokea bank ya NMB halafu wahusika wa bank wamepewa taarifa lakini they take it serious not.WANA JAMVI NAOMBA MUONGOZO USHAHIDI NINAO WA KILA KITU....
----
----
----
----
----
----