Nimeibiwa kiwanja

Nimeibiwa kiwanja

kinanape

Senior Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
128
Reaction score
30
wanabodi heshima mbele.

Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja.

Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja.
Nikapata kiwanja kwa jamaa fulani na kumlipa kwa mwanasheria akatuandikia ducuments fulani ambazo ninazo ila kiwanja kilikuwa hakina hati so nilipatiwa letter of offer. baada ya muda kupita nilienda kwa jamaa fulani wanahusika na valuation na michongo ya hati.
However baada ya kufatilia niligundua kwamba jamaa alishachukua hati na anayo. jamaa kapotea haqpatikani nina RB ya polisi na wale jamaa wa valuation waliniambia nipeleke caveat ardhi nikapeleka na jamaa hajapatikana mwaka sasa.

UAMUZI WANGU
nimeamua either nijenge pale ili mwenye hati ajitokeze tuonane uso kwa uso, pia sometimes naona kama niliibiwa hela niopotezee but nikifikria hela yenyewe nyingi kichwa kinauma.
Naombeni ushauri nifanye nini wakuu.

natanguliza shukrani za dhati!!!!!!!
 
eh mjini matapeli wengieee
ngoja nikaweke wapangaji pale kwangu wasipauze tena
pole mkuu
 
Kuna mkono hapa wa wafanyakazi wa wizara husika kuhusika. Usipanic mkuu, kama suala umeishalifikisha polisi. Pia andika barua ya malalamiko kwa katibu mkuu wizara ya ardhi kwani wametoa hati kwa mtu ambaye si sahihi. Kiwanja ni mali yako mkuu kama una documents zote.
 
ushauri wa don- oba siyo sahihi, kiwanja ni mali binafsi ya mmiliki na hakuna namna wizara inahusika kushawishi mtu kuuza ardhi yake, isipokuwa oale tu mwananchia anapoomba kuhamisha milki( transfer). kwa ishu yako ilivyo nakushauri baada ya kuweka caviet omba kuhamisha milki hiyo kwa kutumia iyo offa kawaida ofisi ya ardhi itagoma kukamilisha uhamisho kwa kua kuna hati but wakujibu kwa maandishi officialy , hii itakusaidia baadae. pili mwandike kamishna wa ardhi na nakala kwenda ofisi ya ardhi ya eneo kilipo kiwnja chako ukimtaarifu kuwa umenunua ardhi hiyo toka kwa mmiliki wa awali, majibu yao yachukue kwa maandishi kisha fungua kesi ya madai mahakamani kuomba mahakama ikutambue wewe kuwa mmilki na imwamrishe kamishna na msajili wa hati abadili kumbukumbu za awali aingize details zako na kukuandalia hati kwa majina yako: ni muhimu kujiridhisha na hizo document zako maana mjini wajanja wengi usije sema una ofa kumbe barua ya mtaani, pili hakikisha namba ya kiwanja inayotajwa kwenye hiyo ofa ndiyo kiwanja hicho maana zipo cases unauziwa kiwanja namba 5 ofa/hati unayopewa inasoma namba 9 hapo itakula kwako, aidha ni vyema kujihakiki je uyo aliye kuuzia ndie mwenye majina yaliyo kwenye iyo document, ipo michezo mimi john najitambulisha kuwa john ili tu nikutapeli, mwisho hakikisha iyo ofa ulopewa ni genuine la siyo moja kati ya ivyo vitu vitatu ikimis kesi utashindwa,
 
wanabodi heshima mbele. Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja. Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja. Nikapata kiwanja kwa jamaa fulani na kumlipa kwa mwanasheria akatuandikia ducuments fulani ambazo ninazo ila kiwanja kilikuwa hakina hati so nilipatiwa letter of offer. baada ya muda kupita nilienda kwa jamaa fulani wanahusika na valuation na michongo ya hati. However baada ya kufatilia niligundua kwamba jamaa alishachukua hati na anayo. jamaa kapotea haqpatikani nina RB ya polisi na wale jamaa wa valuation waliniambia nipeleke caveat ardhi nikapeleka na jamaa hajapatikana mwaka sasa. UAMUZI WANGU nimeamua either nijenge pale ili mwenye hati ajitokeze tuonane uso kwa uso, pia sometimes naona kama niliibiwa hela niopotezee but nikifikria hela yenyewe nyingi kichwa kinauma. Naombeni ushauri nifanye nini wakuu. natanguliza shukrani za dhati!!!!!!!
Kiwanja ni hati ... ukijenga kama hati haina jina lako umeliwa na kwa siku hizi ni criminal offence kujenga kwenye kiwanja sio chako
 
Kiwanja ni hati ... ukijenga kama hati haina jina lako umeliwa na kwa siku hizi ni criminal offence kujenga kwenye kiwanja sio chako
Kwa hiyo unashauri nifanyeje mkuu??
 
ushauri wa don- oba siyo sahihi, kiwanja ni mali binafsi ya mmiliki na hakuna namna wizara inahusika kushawishi mtu kuuza ardhi yake, isipokuwa oale tu mwananchia anapoomba kuhamisha milki( transfer). kwa ishu yako ilivyo nakushauri baada ya kuweka caviet omba kuhamisha milki hiyo kwa kutumia iyo offa kawaida ofisi ya ardhi itagoma kukamilisha uhamisho kwa kua kuna hati but wakujibu kwa maandishi officialy , hii itakusaidia baadae. pili mwandike kamishna wa ardhi na nakala kwenda ofisi ya ardhi ya eneo kilipo kiwnja chako ukimtaarifu kuwa umenunua ardhi hiyo toka kwa mmiliki wa awali, majibu yao yachukue kwa maandishi kisha fungua kesi ya madai mahakamani kuomba mahakama ikutambue wewe kuwa mmilki na imwamrishe kamishna na msajili wa hati abadili kumbukumbu za awali aingize details zako na kukuandalia hati kwa majina yako: ni muhimu kujiridhisha na hizo document zako maana mjini wajanja wengi usije sema una ofa kumbe barua ya mtaani, pili hakikisha namba ya kiwanja inayotajwa kwenye hiyo ofa ndiyo kiwanja hicho maana zipo cases unauziwa kiwanja namba 5 ofa/hati unayopewa inasoma namba 9 hapo itakula kwako, aidha ni vyema kujihakiki je uyo aliye kuuzia ndie mwenye majina yaliyo kwenye iyo document, ipo michezo mimi john najitambulisha kuwa john ili tu nikutapeli, mwisho hakikisha iyo ofa ulopewa ni genuine la siyo moja kati ya ivyo vitu vitatu ikimis kesi utashindwa,
Nakushukuru sana mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako!!!!!!!
 
Kuna mkono hapa wa wafanyakazi wa wizara husika kuhusika. Usipanic mkuu, kama suala umeishalifikisha polisi. Pia andika barua ya malalamiko kwa katibu mkuu wizara ya ardhi kwani wametoa hati kwa mtu ambaye si sahihi. Kiwanja ni mali yako mkuu kama una documents zote.

Jamani hujui BUYERS BE AWARE! Wewe utanunuaje kiwanja kwa style hyo? Imekula kwako! Stage za kununua ardh ni hz.1.pre-contractual stage 2.contractual stage 3.pre-coveyance stage 4.conveyance stage na 5. Post-conveyance! Huwez lpa hela kabla hamjafanya valuation,pia huwez lpia bla kujiridhsha km kiwanja ni cha muuzaji! HUYO MWANASHERIA NI JUHA. Mshitaki kwa proffetional negligence!
 
Huyo jamaa unamjua? unapajua kwao au alipotoka?
Kama kafa je? au kasafiri nchi za nje? AU kazamia?
Nakupa pole kaka angu.


Lakini fanya utafiti kwanza, huyo jamaa kaenda wapi?
Unaweza kuanza kujenga kama ulivo fikiri ili uone matokeo, kwaiyo kama kauza tena basi mwenye kiwanja atajitokeza, na atakutafuta. Na anaweza kukushtaki kwa kujenga ktk kiwanja chake. Kwa vile unayo makaratasi basi utaeleza kama ilivo kuwa, na bwana sheria wako ni shahidi wako.

Na wewe utaanza kumshtaki huyo jamaa kakutapeli.

Lakini kabla ya hayo inabidi umtafute huyo jamaa. Tena husimtafute mwenyewe, mtumia mtu amtafute huyo jamaa kisiri siri ili ujue tu alipo. Jina lake si unalo? na alipokuwa anaishi si unapo?
pengine kajificha mahala flani.
 
wanabodi heshima mbele.

Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja.

Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata
uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja.
Nikapata kiwanja kwa jamaa fulani na kumlipa kwa mwanasheria
akatuandikia ducuments fulani ambazo ninazo ila kiwanja kilikuwa hakina
hati so nilipatiwa letter of offer. baada ya muda kupita nilienda kwa
jamaa fulani wanahusika na valuation na michongo ya hati.
However baada ya kufatilia niligundua kwamba jamaa alishachukua hati na
anayo. jamaa kapotea haqpatikani nina RB ya polisi na wale jamaa wa
valuation waliniambia nipeleke caveat ardhi nikapeleka na jamaa
hajapatikana mwaka sasa.

UAMUZI WANGU
nimeamua either nijenge pale ili mwenye hati ajitokeze tuonane uso kwa
uso, pia sometimes naona kama niliibiwa hela niopotezee but nikifikria
hela yenyewe nyingi kichwa kinauma.
Naombeni ushauri nifanye nini wakuu.

natanguliza shukrani za dhati!!!!!!!

fanya official Search ofisi ya msajili wa hati kisha ukipata majibu hati ina jina gani tuwasiliane
 
wanabodi heshima mbele.

Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja.

Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja.
Nikapata kiwanja kwa jamaa fulani na kumlipa kwa mwanasheria akatuandikia ducuments fulani ambazo ninazo ila kiwanja kilikuwa hakina hati so nilipatiwa letter of offer. baada ya muda kupita nilienda kwa jamaa fulani wanahusika na valuation na michongo ya hati.
However baada ya kufatilia niligundua kwamba jamaa alishachukua hati na anayo. jamaa kapotea haqpatikani nina RB ya polisi na wale jamaa wa valuation waliniambia nipeleke caveat ardhi nikapeleka na jamaa hajapatikana mwaka sasa.

UAMUZI WANGU
nimeamua either nijenge pale ili mwenye hati ajitokeze tuonane uso kwa uso, pia sometimes naona kama niliibiwa hela niopotezee but nikifikria hela yenyewe nyingi kichwa kinauma.
Naombeni ushauri nifanye nini wakuu.

natanguliza shukrani za dhati!!!!!!!

huoni kama ukijenga utakula hasara ilihali hujui hatma ya kiwanja chako? tuliza akili mpendwa, tatizo lako ni kubwa lakini linaweza kutatuliwa, naisi unapaswa kurudi kwa mwanasheria aliyekusainisha izo document akueleze kwa kina ili ujue pa kuanzia mpendwa.
 
huyo mwanasheria ni kihiyo au naye yumo jwenye huo mchongo.hatua zikosewa toka mwanzo hasa mambo ya letter of offer nashangaa kidogo coz ni mambo ya kuomba ardhi kwa mara ya kwanza(grant right of occupancy) ambapo kuuziana ardhi ni kitu kingine so hakuna uhusiano kati ya uuzwaji wa ardhi na letter of offer.huo ni utapel broo na sio wizi na wzi ni katika vitu vinavyohamishika tu..swala lako ni kubwa so mfuatilie huyo mtu then muone mwanasheria mzuri akusaidie.
 
usujenge mana hakijawa chako na bado tatizo halijatatuliwa.
 
Basi bongo kwa wizi mmezidi, mnaiba hadi kiwanja,!!!?
 
Ebu fafanua. Unasema ulinunua mkaandikiana kwa mwanasheria halafu ukapewa offer. Huyo muuzaji ndiyo alikupa offer au wewe ndiyo ulipima kiwanja na offer ikatoka kwa jina lako? maana kama huyo aliekuuzia ndiyo alikupa offer iliyoko kwa jina lake then inawezekana kabisa wakati anakuuzia tayari alikuwa pia na title deed ila yeye akakudanganya kwamba kiwanja kina offer peke yake. So hati akabakia nayo. Na kwa vile wewe hukufanya serch vizuri basi hukuweza kugundua. Maana yake ni kwamba kama ana hati basi kiwanja siyo chako. Mimi sii mwanasheria lakini nahisi harufu ya kutapeliwa hapa.Nenda kafuatilie hati ilichukuliwa lini wizarani utakuta ni longtime hata kabla hujanunu kiwanja..
 
Kiufupi,haujanunua kiwanja.Umenunua hayo makaratasi. The land has never been dully transfered to you.Pole sana
 
Back
Top Bottom