Hakuna hizo video. Kuna picha za family events zingine za muhimu mno na wahusika wengine ni marehemu na ni mimi tu ndiye ninazo. So kumbukumbu zimepitea.Kama ilikuwa na zile video zako umekwisha.
Vitu vya msingi sana jitahd kutunza mtandaoni hasa kwenye drivebox au email , mi hii ilishanikuta nilipotezaga laptop ilikuwa na kumbu kumbu zs msingi sana mpak leo inaniuma yaan , kuanzia hapo huwa natunza picha FB( only me) na kwenye email, vile vya msingi sanaHakuna hizo video. Kuna picha za family events zingine za muhimu mno na wahusika wengine ni marehemu na ni mimi tu ndiye ninazo. So kumbukumbu zimepitea.
Ushauri mzuri binafsi huwa nafanya hvyo pia huwa ni njia nzuri ya kutunza vituVitu vya msingi sana jitahd kutunza mtandaoni hasa kwenye drivebox au email , mi hii ilishanikuta nilipotezaga laptop ilikuwa na kumbu kumbu zs msingi sana mpak leo inaniuma yaan , kuanzia hapo huwa natunza picha FB( only me) na kwenye email, vile vya msingi sana
Backups muhimuHakuna hizo video. Kuna picha za family events zingine za muhimu mno na wahusika wengine ni marehemu na ni mimi tu ndiye ninazo. So kumbukumbu zimepitea.
Da! Nimeibiwa laptops mbili hapa Ubungo Kibo, Dell na HP. HP imevunjika kipande mbele kushoto mpaka hard disk inaonekana, ila ndio ina data zangu muhimu...π
Sema kiasi gani ? Njoo inboxLete hela tuwakamate wez
Najua ni muhimu ni uzembe wangu tu. Nina flash ya 2TB eti nimeweka games za mtoto tu.Backups muhimu
Mkuu jitahidi picha uziweke google drive au mega kama ulivyoshauriwa na wana jamvi,Najua ni muhimu ni uzembe wangu tu. Nina flash ya 2TB eti nimeweka games za mtoto tu.