Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute wameenda kuuza chuma chakavuKwa wenye experience. Kuna mpangaji amewekewa LUKU yake hana mwezi.
Asubuhi ya leo wanaweka umeme hauingii. Kuangalia Nje wanakutana na nyaya LUKU hazipo imenishangaza sana.
Nimemshauri aende TANESCO akatoe ripoti.
Sasa hii itakuwa ni shida na wahusika ni watu hao hao wa tanesco coz zile ni mali za shirika na hata ikienda kufungwa sehemu nyingine majina ya usajiri yatasoma mengine kwahiyo ni rahisi kumshika mtumiaji nae akamtaja aliyemuuzia ambao ni hao hao tanesco techniansDuuh hii nayo mpya, nakumbuka kwetu ni Tanesco walioshauri lile box la luku lihamishiwe nje. Sasa kama wameanza kuiba tena, itakuwaje 🫠 !
si kwetu walifanikiwaKuna kipindi huu wizi ulisambaa sana.
Ripoti polisi na Tanesco.
Ingawa sikuwahi ona mtu aliyesema kwamba walifanikiwa kuwapata wezi
Kabisa mkuuSasa hii itakuwa ni shida na wahusika ni watu hao hao wa tanesco coz zile ni mali za shirika na hata ikienda kufungwa sehemu nyingine majina ya usajiri yatasoma mengine kwahiyo ni rahisi kumshika mtumiaji nae akamtaja aliyemuuzia ambao ni hao hao tanesco technians
Unawapataje mkuu maana hii kwangu mpya SIJAWAHI onaaasi kwetu walifanikiwa
Hazina mkuuHivi hizi luku hazina mfumo wa ufuatiliaji sababu zimesajiliwa kama laini za simu?
Bongo bahati mbaya
Haiwezekani kubadirisha usajiri mkuu. Mpaka Tanesco kuwashauri wananchi wafunge mita nje ya nyumba maanake wanaiamini mifumo yao na wao ndio sole distributor wa hizo devices. Kwahiyo chochote tofauti na mfumo wao wao ndio wawajibikaji definitely.Kabisa mkuu
Maana ni ewaza sana JE aliechukua anaenda kubadilisha jina na mtr namba ama
Thx mkuu ntaleta MREJESHO ngoja tusubirieHaiwezekani kubadirisha usajiri mkuu. Mpaka Tanesco kuwashauri wananchi wafunge mita nje ya nyumba maanake wanaiamini mifumo yao na wao ndio sole distributor wa hizo devices. Kwahiyo chochote tofauti na mfumo wao wao ndio wawajibikaji definitely.