asante sanaNenda Vodashop watakuelekeza utaratibu Kisha utaipata nyingine na ile itafungwa.
Kwa kuanzia unaweza kuwapigia ukiwa na details zako muhimu watakuuliza maswali ili kuhakiki kuwa ni Yako kweli Kisha wataifunga. Baada ya hapo taratibu zingine zitafuata
nilimwajir
Yaani hujui hata hilo la kurudisha hiyo till, kwani uliipataje mkuu mbona maswali yanakuwa mengi kuliko majibuNaombeni msaada au mwongozo tafadhali ,
mwaka 2019 nilimwajir rafk yang wa kijjn kwenye mpesa yangu hapo kijjn kwet nikaondok kwenda nje ya nchi ila cha ajabu mwaka huu mwez wa 4 wamefanya tukio kijjn kupelekea kutaftw na polis akaondok na kila kitu changu cha mpesa na lain bdo inatumik nifanyaje nirudishe till yang mim sina haja nae nashida na lain yng ya mpesa details zote ni zangu
THANKS IN ADVANCE