Nimeikosa UEFA final hivi hivi, nilidhani ticket wanauza tu, kumbe kuna utaratibu wake

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Kwanza inabidi ujiandikishe kwa watu watakao tegemewa kununua ticket yaan uwe miongoni mwao, alafu unaingia kwenye line yao au mchakato mzima, wao ndo wanapanga nani apate nani hasipate,

Kwa sasa nimeambiwa nimeshachelewa labda njia pekee ni kuipata kwa wanaonunua mapema ili wauze muda ukikaribia,

Ntaifuatilia kesho, nataka nishuhudie live majogoo hapa Kiev
 
Husipate[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…