KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
[h=5]Wa Tanzania Musubiri Kupokeaya Sadunku Za watoto na ma bwana zenu askari ambao Kikwete na CCM yake wametumana Congo sababu ya Kujitajirisha wao wenyewe. Musizani kama nawapa habari za Uongo. Jana tena majeshi Ya Tanzania ilianguka katika Amboushi ya Majeshi ya m23 Wengi wamekufa, Wawili ndio wameonekana katika Hospitali ya Goma, kama Vile radio ya UN ilitangaza. Maiti wamezifica sababu wanaogopa wanabunge wao wasiwasumbuwe na ma swali. lakini Ukweli Utajulika. Sisi Tunawaheshimu wa Tanzania na Tunawapenda sana, hata Ma driver Wa ma Roli kutoka Inci yenu wanapo pita Mahali tuna controle tunawapa usalama wao. Sijuwe Huyu Kikwete anataka nini? Kwa nini hawezi ambiya rafiki yake Kabila arudi kampala tuzungumuze kuliko kuuwana. VITA SIMUZURI. apa congo sisi tunao sema kinyarwanda wanatuita wanyarwanda eti turindi Rwanda na sisi tumekataa, Masisi, Rutshuru na MULENGE ni kwetu hatutatoka, Hata NATO ije, tutamenyana. ZIMBAMBWE, NAMIMBIA, ANGOLA walikuja tupiganisha wakashindwa kweli Watanzaniya ndiyo wataweza? MUTAKUFA BURE SANA na KIKWETE ACOUNT ZAKE ZITAJAZWA PESA YA JOSEPH KABILA. Kama dungu yako askari iko uku Congo ebu Jaribu number yake kama haipite maana yake Ameanga Dunia na ameenda onana na shetani ama Mungu[/h]
Source:https://www.facebook.com/mutuwabien?hc_location=stream
Source:https://www.facebook.com/mutuwabien?hc_location=stream