MNYAKONGWA
Member
- Apr 9, 2013
- 8
- 4
Ndugu zangu wana JF; mabwana na bibi,wakubwa kwa wadogo.Naomba mniwie radhi kwa kuingia ndani ya JF;bila kubisha hodi wala kuwasalimia.Naamini mtachukulia nami katika udhaifu na kunisamehe ndugu katika JF sasa !!! :amen: