Wakati nikitafuta kivuli ili nijisitiri kwa jua hili kali nimejkuta nimekalia kuti kavu baada ya kupendwa na shemeji yangu.Kisa hichi kimetokea baada ya kupeleka maombi JF kumbe shem nae ni mdau mkubwa wa janvi.Sasa ugomvi mkubwa kwa wapenzi hao haushikiki nashindwa hata kumwangalia shem usoni make alivyojidekeza kabla hajajua kua mi ni nani?
Post yenyewe ya 1 ulipeleka maombi lini?
Dena amsi bila shaka ndo anajfunza 2msaidie jamani ili awe sambamba c unajua 2najfunza kutokana na makosa
Post yenyewe ya 1 ulipeleka maombi lini?
Ukiona ivo ujue huyo sio mpya kiveeele
Apigwe ban, hadi aje na id yake ya awali.