nimeingia hodii hodiii wana jf..... mpo pouwaaah..

MR pcb

Member
Joined
Feb 4, 2014
Posts
8
Reaction score
2
jaman nipeni ushaur nina demu nimemit nae kwenye gari tukapeana namba na sasa anataka nifanye nae mapenz bila kinga
 
jaman nipeni ushaur nina demu nimemit nae kwenye gari tukapeana namba na sasa anataka nifanye nae mapenz bila kinga

Huwezi kuachana naye ukaendelea na mambo yako??

Karibu sana JF...
 
meeting kwenye gari? yako au yake au Bus la mkoa?? niliambiwa zamani Mapenzi ya kwenye bus huishia stand
 
Kwahiyo hyo dem mwenyewe kakutongoza au ulimtongoza ndo kakupa masharti ya kufanya nae mapenzi bila kinga??
 
jaman nipeni ushaur nina demu nimemit nae kwenye gari tukapeana namba na sasa anataka nifanye nae mapenz bila kinga

Katafute watoto wenzio ukacheze kifuu na mchanga. JF haikufai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…