The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Dume la mbegu hapa..Sema jinsia yako mapema, alafu ibaki hiyo hiyo
Sawa ngoja wadada waje wakukaribishe, Wanaume huwa hatukaribishani ukija na ugeni wako tunaendelea kuzungusha round kama vile ulikuwa long time tu. KARIBU MEZANI AGIZWA KINYWAJI STORY ZIENDELEE.Dume la mbegu hapa..
Hahaa! Mkuu huenda wewe ndiye ukawa mjukuu wangu.karibu sana JF wewe mjukuu wetu.
Yaani wewe?Hahaa! Mkuu huenda wewe ndiye ukawa mjukuu wangu.
Aah! Hii JF baada ya kufanya marekebisho imezingua nikajikuta na reply hiyo msg! Kwema huko lakini?Yaani wewe?
Umerudi kujukaribisha au?
πππ
Aah! Hii JF baada ya kufanya marekebisho imezingua nikajikuta na reply hiyo msg! Kwema huko lakini?
Thanks ila hapo kwenye red unaweza ukawa haupo sahihi.Karibu mzee baba
Jisikie uko nyumbani ukipata tatizo nione kijana wangu
Sijakusoma mkuu.Karibu uwe na mada mzuri sio unaisifu rangi moja tu.
Karibu shostie
Wewe mqlqyq acha kujilengesha kwangu,endelea kutafunwa kisha unatemwa na masela hapo kitaani,wanahadisia tu jinsi unavyotema harufu kwenye K kisha wanakutema.Kumbe The Icebreaker ni shosti mwenzetu!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiomana ana kisirani, itakuwa yuko mwezini
Shosti mambo? π€£π€£π€£Wewe mqlqyq acha kujilengesha kwangu,endelea kutafunwa kisha unatemwa na masela hapo kitaani,wanahadisia tu jinsi unavyotema harufu kwenye K kisha wanakutema.
Wanaume uwatoe wapi wakati kitaani wote wamekutema kwa kunuka K?Shosti mambo? π€£π€£π€£
Me nijilengeshe kwako? Aiseee!! Hiki kituko cha mwaka.
Wanaume marijali wote waliojaa hapa nijilengeshe kwako chokoloo!!!
Sema nini tafuta ulingo hapa nitapigwa ban
Pole sana tatizo sina mtalimbo ningekukaza dada ice πππWanaume uwatoe wapi wakati kitaani wote wamekutema kwa kunuka K?