Nimeingia na camera mjini nianzie vipi harakati?

Nimeingia na camera mjini nianzie vipi harakati?

Pub pale nikifika nafanyaje mi mgeni bro
Ukiingia ongea na dj au kama kuna Mc anatangaza Iringa,Njombe na Mbeya kwa mishe hiyo itakulipa muhimu kuwa mchangamfu na kuzoeana na watu kesho pia usisahau kwenda makanisani utapata wadau.
 
Ukiingia ongea na dj au kama kuna Mc anatangaza Iringa,Njombe na Mbeya kwa mishe hiyo itakulipa muhimu kuwa mchangamfu na kuzoeana na watu kesho pia usisahau kwenda makanisani utapata wadau.
Duh pamoja
 
Duh pamoja
Skiliza bbu sasa hv ni wakati wa magraduation jaribu kuulizia conection wapi kuna graduu utapiga pesa kimtindo usikae kizembe yaan hata kama mty hatak kupga picha ww simama kwa pemben mpge afu muonenyeshe zile pic kaliii lazma atashawishika tu mwanangu mjini akili au weekend tembelea beach kuna raia kibao
 
Wapige watu picha hovyo,alafu zitandaze chini wakipita wakiziona picha zao watazichukua,hapo ushapata ela😄😄😄😄
 
Weekend tembelea ufukweni mwa bahari utapata hela ya kutosha hakikisha uwe na card leader, usb cable na OTG
 
Kwa jinsi usivyojua kujielezea vizuri, nawaza hiyo Kazi namna utakavyokuwa unaifanya. MUNGU akusaidie tu- tuna vijana wa Hovyo sana hii Nchi.
 
Skiliza bbu sasa hv ni wakati wa magraduation jaribu kuulizia conection wapi kuna graduu utapiga pesa kimtindo usikae kizembe yaan hata kama mty hatak kupga picha ww simama kwa pemben mpge afu muonenyeshe zile pic kaliii lazma atashawishika tu mwanangu mjini akili au weekend tembelea beach kuna raia kibao
Beach iringa,au siooo
 
Back
Top Bottom