Ngoja niwape sifa za girls kulingana na maumbile: waschana Wenye mwanya jamani watamu acha, halafu wapole, wenye matege nao watamu ila wana kaukorofi, wenye midomo mikubwa usiombe kuoa maana wanaongea kama wamemeza cd ya Tupac, wenye bichwa wakorofi sana wanapenda ligi ndani ya nyumba, wafupi wana upendo wa kweli, warefu wana maringo acha tu, wembamba waweza kumkunja upendavo mida ile ya...., wanene wana upendo na hasira vile vile,Ni mtazamo wangu tu au nimeingia chaka?
duh!unamaanisha ulichokiongea? akilegea utamfanya nini?hapo juu upo kwenye kundi gani aisee?Ushindwe na ulegee
isome tenaHii nini tena?
lakini si umeipenda?utafikiri hujazaliwa na mwanamke. ulegee kabisa
unataka kujiweka pembeni ya reli?Mwenzetu umeoa (au umewapitia wangapi) hadi utuletee takwimu hizo?!!!!
duh!unamaanisha ulichokiongea? akilegea utamfanya nini?hapo juu upo kwenye kundi gani aisee?
isome tena
lakini si umeipenda?
unataka kujiweka pembeni ya reli?