Mkuu Ungeweka sawa ulivyotathimini hilo soko la hzo computer ili mtu ajue pa kuanzia,je mahitaji makubwa ni ya mtu mmoja mmoja au kuna wateja wakubwa wa kuwasupply?
Mimi nadhani muanzisha mada amefanya vema. Kwa mtu ambaye yuko serious kuwekeza, anaweza kuanza immediately kufuatilia na kupata majibu ili ajitose. Big up tizo1 haya ndo mambo tunayotegemea kutoka kwa watanzania wenzetu.umetathmini kwa makini?? manake tunaweza leta mzigo ,kumbe jama hawana ishu....aidha wanataka kwa bei ya chini zaidi au ni miyeyusho tu
Amesema hana uwezo, unataka nini zaidi? fanyia kazi taarifa yake siyo hali yakeKwa nini wewe usiifanya? Tatizo nini? Muda? Mtaji? Wateja?.....???!
Kwa nini wewe usiifanya? Tatizo nini? Muda? Mtaji? Wateja?.....???!