Nimeipenda teknolojia hii katika simu ya OKING, nashauri makampuni mengine ya utengenezaji simu yawaige

Nimeamka nimekuta kamezima ilhali kalikuwa kanaonyesha kanaingiza chaji. Kwa hiyo hiyo chaji ilikuwa inaenda wapi! Kajinga kabisa haka.
 
Nimeamka nimekuta kamezima ilhali kalikuwa kanaonyesha kanaingiza chaji. Kwa hiyo hiyo chaji ilikuwa inaenda wapi! Kajinga kabisa haka.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]

Wanangu wa A town inakuaje??
 
Simu inakufa unasema technology ya hali ya juu we jamaa wewe

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…