Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
- Thread starter
-
- #121
Nahisi huyo kakako atakuwa ni domo zege,
Mwambie aje hapa Tanzania na akae kwa muda kumtafuta na kumchunguza mwanamke atakayemfaa kuwa mke mtarajiwa.
mshauri aache kuchagua sana, wakati mwingine wanaume na hata wanawake wanaweke vigezo vingi ambavyo kwa kweli kupata mtu mkamilifu kiasi hicho inakuwa ni almost ndoto, na hapo ndio mwanzo wa kugonga 40 kabla ya kuoa/kuolewa. na hata ukipata mwenye vigezo unavyotaka wewe usisahau nae huyo ana vigezo vyake ambavyo pengine wewe huna, la msingi ni kutafuta mmoja aanze urafiki na hatimae atoe hoja ya kuoa ukipata mtu mna match kwa 50% mchukue tu mambo mengine mtarekebisha humohumo ndani ya relationship ukitaka wa 100 % utamtoa wapi? na hata ukimpata je nae yuko tayari kuwa na wewe???
Mwambie aweke tangazo Love Connect.
Lizzy dear, ni sawa lakini kule mamluki wengi sana, sijui atajuaje!
Hana hata wa kusingiziwa. His past lovers in Tanzania are either married or dead (too sad)!!
inaonesha kakako anadhani tz ndo anaweza kupata mke mtulivu.
ukweli ni kwamba usa na tz kuna wanawake wazuri na wabaya.
kuna maeneo fulani fulan ukiwa ndio unayapendelea lazima uibuke na vimeo,
na maeneo fulan fulan vimeo hawapendi kwenda bali wanaojiheshimu,
atulie,awe makini hata usa atapata tu,tena nijuavyo wanawake watulivu abroad wako bize kusoma au kufanya kazi,
aende kanisani anaweza kupata lkn hata huko awe makini sbb hata vicheche wanajua wanaume wanaamin wote waendao kanisani ni watulivu lkn sio wote.
Huyo lazima atakuwa na matatizo 40+ hajapata kuishi kote huko hata kijijini kwenu hawapo? je ana mtoto hata wa kusingiziwa? akiwa nae mwambie aniPM.
sitaki kuamini huyo Tozi ni kibisa ila anitafute niko counter kimboka bar buguruni....wapo wake kibao wanakosa mikataba ya kudumu coz wabongo wanapenda day waka....so najua jamaa ana element za dunian hopefully atafanikiwa.....tena si mtu wa kwanza kumsaidia.......amen!Aansema wapo wengi, amejaribu na ameshindwa. Wengi wanaokwenda kusoma kule wanakuwa na wachumba tayari, ndio maana amekwama.