Nimeishi Tabata kwa miaka 10, barabara ya Mawenzi hufanyiwa matengenezo makubwa kila baada ya miaka miwili

Nimeishi Tabata kwa miaka 10, barabara ya Mawenzi hufanyiwa matengenezo makubwa kila baada ya miaka miwili

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Asalaam aleykum jamiyah,

Nalazimika kuuliza na kuhoji inakuwaje mkandarasi anashindwa kutoa ushauri makini, juu ya ujenzi wa bara bara, unaorudiwa mara kwa mara na kupoteza fedha za umma kila kila wakati badala ya fedha hizo kutumika kwenye mambo mengine ya kimaendeleo? Kwanini kila wakati tui finance barabara ile ile kila mwaka?

Tujuavyo barabara lifespan should be not less than 20yrs. Mh. Bash, tumia zaidi concrete road, kuepusha kutengeneza barabara kila msimu wa mvua, ni hasara kubwa sana, au sijui ndio njia ya ulaji ilipo.

-Barabara zote ambazo ukarabati wake hujirudia kila mwaka zimulikwe, ili kuondosha matengenezo ya kila mwaka wa fedha za serekali.

-Wazo la Jumamosi.

WASALAAM.
 
Watanzania tuache anasa bana. Hatuhitaji barabara nzuri kwasasa hivi. Tujikite kufanya kazi kwenye kilimo, uvuvi na umwagiliaji tuondoe shida ya njaa. Msosi muhimu. Ukila balance diet ukashiba IQ inatengamaa hiyo mibarabara inajijia tu yenyewe.
 
Vipengele sugu viangaliwe, probably soil profile yake inakuwa na utata, dawa yake piga barabara ya zege maliza tatizo!
Dah dogo. Zege unaijua wewe? Waza msosi kwanza mengine yatajijia tu. Hiyo zege siyo ya kitoto wakati una nenge!

Tuacheni kuendekeza na kupenda anasa.
 
Nchi za dunia ya kwanza nyingi hutumia mtindo wa kumaliza tatizo, kwa 100%, na kushughulika na jambo lingine jipya, plan ya Kurepea barabara kila miezi sita ni upuuzi huu!
 
Back
Top Bottom