Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Nani alisema Tabia haina Dawa??
Kwa Miaka kadhaa nikiwa nazungumza na watu/mtu nakuwa naongea sana.. mpaka sometimes baada ya mazungumzo kuna baadhi ya mambo naanza kujilaumu kwanini hata niliyasema kwenye story.. Mfano.. Uhusiano wa Kimapenzi na mtu fulani.. Family Drama na Mengine Mengi..
Nikaja Kugundua watu wakaanza kujua weakness zangu na baadhi ya mambo ya siri kwangu kupitia stori zangu mwenyewe..
Siku ya siku Nikaja kugundua ukiwa muongeaji sana unaloose atention yako kwa watu.. hata kama una point nzuri ila ukiongea sana itaonekana Pumba tu...
Nikaibuka na tabia ya kusoma vitabu ndipo nilipogundua hutakiwi kuwa Muongeaji sana.. Kama uwezi kuwa Mkimya kuwa Moderate katika Mazungumzo.. au zungumza tu pale inapobidi na itapendeza zaidi kama kundi hilo la watu ndio likataka kusikia toka kwako sio wewe tu unakuwa Kimbelembele..
Toka ni apply hizi mbinu nimekuja kukubalika na kuheshimika sana.. wenzangu wanaeza zungumza maneno buku mimi nikasema Matano tu..
Jihadhari Usiwe Muongeaji sana..
Divine Khan!
Kwa Miaka kadhaa nikiwa nazungumza na watu/mtu nakuwa naongea sana.. mpaka sometimes baada ya mazungumzo kuna baadhi ya mambo naanza kujilaumu kwanini hata niliyasema kwenye story.. Mfano.. Uhusiano wa Kimapenzi na mtu fulani.. Family Drama na Mengine Mengi..
Nikaja Kugundua watu wakaanza kujua weakness zangu na baadhi ya mambo ya siri kwangu kupitia stori zangu mwenyewe..
Siku ya siku Nikaja kugundua ukiwa muongeaji sana unaloose atention yako kwa watu.. hata kama una point nzuri ila ukiongea sana itaonekana Pumba tu...
Nikaibuka na tabia ya kusoma vitabu ndipo nilipogundua hutakiwi kuwa Muongeaji sana.. Kama uwezi kuwa Mkimya kuwa Moderate katika Mazungumzo.. au zungumza tu pale inapobidi na itapendeza zaidi kama kundi hilo la watu ndio likataka kusikia toka kwako sio wewe tu unakuwa Kimbelembele..
Toka ni apply hizi mbinu nimekuja kukubalika na kuheshimika sana.. wenzangu wanaeza zungumza maneno buku mimi nikasema Matano tu..
Jihadhari Usiwe Muongeaji sana..
Divine Khan!