Nimeitazama hii video ya Hayati Reginald Mengi ni tajiri aliyekuwa na Uzalendo na Uchungu na Taifa hili tofauti na wengine wanaotumika kuhujumu Nchi

Nimeitazama hii video ya Hayati Reginald Mengi ni tajiri aliyekuwa na Uzalendo na Uchungu na Taifa hili tofauti na wengine wanaotumika kuhujumu Nchi

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni jambo la kawaida.

Lakini hapa ukimsikiliza Mengi alikuwa na uchungu kwa namna Taifa letu lilivyokuwa linahujumiwa na baadhi ya Viongozi wachache kwa kushirikiana na Wafanyabiashara wa wenye asili ya kigeni.unaweza kusema labda Mengi hakupenda kushiriki katika kuhujumu rasilimali za Nchi yake kwani nafasi hiyo alikuwa nayo.

Mungu ampe pumziko lenye amani
 

Attachments

  • Dada Tanzania - Acha tufukue makaburi - 781142277048473(SD).mp4
    8.7 MB
Fat
Dah mzee mengi...
Huyu mzee ingekuwa si kuendekeza chini kwa sana
Na kupendapenda ovyoovyo
Tungekuwa naye mpaka leo hii

Ova
Fatilia vizuri yule mzee kuna namna Kimambi aliropoka mengi baada ya lile tukio kule Dubai Watoto wake wanaamini Miss alikuja kimkakati kuna kiongozi mkubwa nchi hii aliwahi kuzungumzia hilo sakata kwa kuwasihi watu wasifatilie mambo ya mitandaoni ilishangaza sana kwanini kwa Mengi Mange Kimambi atoe classfied infos kama zile halafu yule kiongozi atoe tamko na si sehemu ya ile familia???
 
Fat
Fatilia vizuri yule mzee kuna namna Kimambi aliropoka mengi baada ya lile tukio kule Dubai Watoto wake wanaamini Miss alikuja kimkakati kuna kiongozi mkubwa nchi hii aliwahi kuzungumzia hilo sakata kwa kuwasihi watu wasifatilie mambo ya mitandaoni ilishangaza sana kwanini kwa Mengi Mange Kimambi atoe classfied infos kama zile halafu yule kiongozi atoe tamko na si sehemu ya ile familia???
Miss alikuja kikimkakati maana si unajuwa alijuwa mzee akimuona hata chomoa

Ova
 
Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni jambo la kawaida.

Lakini hapa ukimsikiliza Mengi alikuwa na uchungu kwa namna Taifa letu lilivyokuwa linahujumiwa na baadhi ya Viongozi wachache kwa kushirikiana na Wafanyabiashara wa wenye asili ya kigeni.unaweza kusema labda Mengi hakupenda kushiriki katika kuhujumu rasilimali za Nchi yake kwani nafasi hiyo alikuwa nayo.

Mungu ampe pumziko lenye amani
Uzalendo autoe wapi na aliitapeli NBC mamilioni miaka ya 80
 
Back
Top Bottom