The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Na bado wanataka kurithishana utawala ili kuendelea klindana na kuchuma zaidiShamba la Bibi watu hujipigia pesa tu
Fatilia vizuri yule mzee kuna namna Kimambi aliropoka mengi baada ya lile tukio kule Dubai Watoto wake wanaamini Miss alikuja kimkakati kuna kiongozi mkubwa nchi hii aliwahi kuzungumzia hilo sakata kwa kuwasihi watu wasifatilie mambo ya mitandaoni ilishangaza sana kwanini kwa Mengi Mange Kimambi atoe classfied infos kama zile halafu yule kiongozi atoe tamko na si sehemu ya ile familia???Dah mzee mengi...
Huyu mzee ingekuwa si kuendekeza chini kwa sana
Na kupendapenda ovyoovyo
Tungekuwa naye mpaka leo hii
Ova
Kwahiyo yale ya kule hotelini Dubai uongo uliotengenezwa?Kabendera ametuambia he was died with sumu
2030.............⚡⚡⚡R. AZIZ kila List yupo ila sijawah kusikia kama hata Kushtakiwa tu.
Jamaa anajua kula na kipofu acha wale Nchi iliyojaa wajinga
Miss alikuja kikimkakati maana si unajuwa alijuwa mzee akimuona hata chomoaFat
Fatilia vizuri yule mzee kuna namna Kimambi aliropoka mengi baada ya lile tukio kule Dubai Watoto wake wanaamini Miss alikuja kimkakati kuna kiongozi mkubwa nchi hii aliwahi kuzungumzia hilo sakata kwa kuwasihi watu wasifatilie mambo ya mitandaoni ilishangaza sana kwanini kwa Mengi Mange Kimambi atoe classfied infos kama zile halafu yule kiongozi atoe tamko na si sehemu ya ile familia???
Uzalendo autoe wapi na aliitapeli NBC mamilioni miaka ya 80Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni jambo la kawaida.
Lakini hapa ukimsikiliza Mengi alikuwa na uchungu kwa namna Taifa letu lilivyokuwa linahujumiwa na baadhi ya Viongozi wachache kwa kushirikiana na Wafanyabiashara wa wenye asili ya kigeni.unaweza kusema labda Mengi hakupenda kushiriki katika kuhujumu rasilimali za Nchi yake kwani nafasi hiyo alikuwa nayo.
Mungu ampe pumziko lenye amani
HONEY TRAP!?Miss alikuja kikimkakati maana si unajuwa alijuwa mzee akimuona hata chomoa
Ova