MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
<br />Nyie ndoi mnaokufa masikini, kisa cha kutupa pesa dadangui? Hacra!
<br />
<br />
am single
<br />Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
Atathubutu wapi kufanya hivyokutupa pete dampo haitoshi....................................,kata kidole kabisa...............................
<br />
<br / dada yangu umepata ulichostahili. Kwanini mnakubali kuvalishwa pete za uchumba kihumi? Na usipobadilika utaishia kuvalishwa na kutumiwa
huyu mdada nadhani amechanganyikiwa anatufanya sisi wote humu tuwe kama jairo na luhanjo na mkuu wa kaya? Mbona alipovalishwa hakutujuza tumpe ushauri?> aende zake hukowasichana wengine bhana, yaani mshkaji ka-toil kupata pesa akutengenezee pete wee hasiria zako tu unakuja kututangazia ujinga wako hapo....
Open Vacancy kwa ambaye yupo tayariKwahiyo unasemaje?
So, are you trying to say that you are now available...PM zinakaribishwa? Kuwa muwazi tuanze kukukuruka!
<br />Acheni kupoteza muda kuchangiaa huu ujinga,tujadiliane mambo ya msingi,upumbavu kama huu ndo unao tuponza wana JF tunaonekana wahuni,i hate this.Haya yanakera na ndo maana watu manatudis na kuhama forum yetu.