Nimeitupa engagement ring dampo

Acheni kupoteza muda kuchangiaa huu ujinga,tujadiliane mambo ya msingi,upumbavu kama huu ndo unao tuponza wana JF tunaonekana wahuni,i hate this.Haya yanakera na ndo maana watu manatudis na kuhama forum yetu.

Mapenzi yana run dunia, angalia well successfull pple wana strong partners beside them so ni sehemu muhimu sana ya maisha kama kupata mahitaji muhimu!
 
teh teh teh

thatha umejiona mjaaaaaaaanja kwa hicho kitendo?

usijali sisi tunatafuta wa "kugongagonga" tupe namba ya simu kabisa!
 
teh teh teh<br><br>thatha umejiona mjaaaaaaaanja kwa hicho kitendo?<br><br>usijali sisi tunatafuta wa "kugongagonga" tupe namba ya simu kabisa!<br>
 
Umeliona tangazo la kazi kwenye gazeti,meneja wa dampo anatafutwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…