PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.
Alaa kitambo sana sie tulishawatema na Sasa tunadeal na wengine Ukaguzi wao ulikuwa unachelewa sana kukamilika hadi Board Meeting tukawa tunazisogeza sanapwc wameshahama international house kitambo wapo obay siku hizi
PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.
and that's why you are not recruiting manager and you will never.don't think people in our days are stupid like your days.kwa akili yako unategemea kila kitu utapata kwenye Google?kuna watu wamekutana physically na kampuni husika tunapata maelezo zaidi.weaknesses za kampuni unaweza kugoogle?acha ushamba.au wewe ndio walewale wa vimemo?natamani nikuone physically inawezekana wewe chizi.kwanza wewe ni graduate wa lini?
and that's why you are not recruiting manager and you will never.don't think people in our days are stupid like your days.kwa akili yako unategemea kila kitu utapata kwenye Google?kuna watu wamekutana physically na kampuni husika tunapata maelezo zaidi.weaknesses za kampuni unaweza kugoogle?acha ushamba.au wewe ndio walewale wa vimemo?natamani nikuone physically inawezekana wewe chizi.kwanza wewe ni graduate wa lini?
Pole sana dogo, I am not a recruiting manager but I do get to attend to many interviews in my line (so I at times be a panelist) . Google has many things, even world class journal articles, it all depends on how and what u search on. Inside info is good, but it clearly indicate that even the basic searches were not made. On the second note- there are review sites which u can freely search on big 4 audit firms. Take it as challenge and not a disappointment , u have a long way to go..but u will get there, take the time to embrace challenges postitively. Here its facts , no personal attacks.
Nyie vijana, kwani mtandao mnatumia kwa kuangalia picha za wadada ama wakaka fb tu ama?
nina rafiki hata akikutana na mkaka ana mgoogle na kucross check cv yake. Dunia kijiji, acheni uzembe
nipe maana ya WADADA,WAKAKA NA MKAKA.ili nifahamu kama wewe ni mzembe au la
nipe majina yako ili nigoogle cv yako.
and that's why you are not recruiting manager and you will never.don't think people in our days are stupid like your days.kwa akili yako unategemea kila kitu utapata kwenye Google?kuna watu wamekutana physically na kampuni husika tunapata maelezo zaidi.weaknesses za kampuni unaweza kugoogle?acha ushamba.au wewe ndio walewale wa vimemo?natamani nikuone physically inawezekana wewe chizi.kwanza wewe ni graduate wa lini?
Kwa uelewa wangu mdogo siku ya Ijumaa Holiday Inn ya pasta-dar huwa inatumika kutoa seminar kwa wajasilia inayotolewa na haya makampuni ya kuuza bidhaa ya FOREVERLIVING kwa watu ambao Exceptional kidogo na walalahoi kama mimi huwa tunakuwa pale millenium tower_Makumbusho so mkuwa makini bro.
Wanahusudu GPA kubwa kubwa hawa ukipata mtu wa kukupiga bakora kwenye hilo imekula kwako hata kama utakamua usaili fresh!