jioni ya leo nimetumiwa ujumbe mfupi na afisa wa jeshi la polisi makao makuu kunijulisha kwamba natakiwa kuhudhuria vipimo vya afya ktk hospitali ya polisi kilwa road dar es salaam.
tatizo ppolisi huwa wanazungushana mno, yaani ma wipi (wp-women police) akiliwa na mmoja basi kituo kizima lazima wampitie, mmoja wapo akiwa na ngoma basi woote wanakuwa na ngoma. ndo maana kati ya watu walioathirika ni polisi.