Nimeitwa tapeli na mdai madeni wakopeshaji wa mitandaoni

Nimeitwa tapeli na mdai madeni wakopeshaji wa mitandaoni

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Nimepigiwa simu na namba ngeni, bila kujitambulisha kanambia nisaidie kumtafuta mtu fulani ambaye namfahamu, eti alikopa kwao pesa na kuniweka mie mdhanini.

Nikamwambia mie sifanyi hizo kazi. Kanijibu niache utapeli. Nilipozidi kumsisitiza ache kunitusi na sijui namba yangu kaipataje akazidi kuniita tapeli. Nataka niwasiliane na mwanasheria nijue hii issue inawekwa vipi. Ndo hilo wakuu nipeni pole tafadhali. Ila huyo binti ntamkomesha.
 
Kuna mtu amekopa ameweka wewe kama ....
Mdhamini wake
Yes, mwenyewe ndo nimeelewa hivyo. Mbaya jamaa hakunitaarifu. Lakini sio justifation ya mtoa huduma kunitukana. The best way system yao ingekua inauliza basi consent ya mdhamini kama yuko tayari. Kinacho fanyika ni uhuni
 
Yes, mwenyewe ndo nimeelewa hivyo. Mbaya jamaa hakunitaarifu. Lakini sio justifation ya mtoa huduma kunitukana. The best way system yao ingekua inauliza basi consent ya mdhamini kama yuko tayari. Kinacho fanyika ni uhuni
Wachina wameamzosha online loan wako kamac20 sasa .....wanaasjiri watu zsidi 1000 kudai na call center nenda Noble towers uone wakiingia saa 1 au kutoka saa 11 hivi zaidi watu 1000 wako pale.......
 
Nimepigiwa simu na namba ngeni, bila kujitambulisha kanambia nisaidie kumtafuta mtu fulani ambaye namfahamu, eti alikopa kwao pesa na kuniweka mie mdhanini.

Nikamwambia mie sifanyi hizo kazi. Kanijibu niache utapeli. Nilipozidi kumsisitiza ache kunitusi na sijui namba yangu kaipataje akazidi kuniita tapeli. Nataka niwasiliane na mwanasheria nijue hii issue inawekwa vipi. Ndo hilo wakuu nipeni pole tafadhali. Ila huyo binti ntamkomesha.
Ongea na mwanasheria upewe kibunda mkuu
 
Tatizo hii serikali ya mama inadharaulika sana.
Bungeni Spika aligusia hilo suala lakini hakuna utendaji .
Gavana kimya, tcra kimya, waziri wa fedha kimya, waziri wa habari kimya.
Hawa wahuni wakopeshaji wa mitandaoni Nigeria wamepigwa ban
 
Dawa wakope halafu zuia permission baada ya kupata pesa utulize machungu.
Ni washenzi sana hawa watu. Wananidai kama millioni 4 hivi.
Walinichafua na mimi
 
Dawa wakope halafu zuia permission baada ya kupata pesa utulize machungu.
Ni washenzi sana hawa watu. Wananidai kama millioni 4 hivi.
Walinichafua na mimi
We umewaweza.boss. nimewaeleza ache kunitukana, mie naitwa ... Napatikana taasis fulani, idara fulani , alete malamiko yake hapo, ya kaendelea kuniita tapeli
Dawa wakope halafu zuia permission baada ya kupata pesa utulize machungu.
Ni washenzi sana hawa watu. Wananidai kama millioni 4 hivi.
Walinichafua na mimi
 
Back
Top Bottom