mkia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 582
- 508
Habari za leo wakuu.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.
Bana wewe nikajikuta na mimi namkimbilia nijuee labda kajamba yeye maana alikuwa ananituhumu. Cha kushangaza tumeingia chumbani harufu hakuna sasa kuanza kunusana bana hakuna kitu ndio tukaanza kushangaa kurudi sebuleni harufu bado ipo ya ukweli tena ilizidi upande niliokuwa nimekaa bana.
Baada ya hapo wife akasema itakuwa harufu inatoka nje. Kutoka nje kuhakikisha labda inatokea nje hakuna kitu pako safi kabisa.
Naomba kuuliza wazoefu je ilisha wahi kumtokea mtu?
Na je wana maana gani hawa au huyu mtu na nifanye nini kukomesha hii tabia maana hii si mara moja.
Mara nyingi inatokea hali hii mpaka inazua ugomvi wa nani kajamba. Nimeshtuka sana.
Wazee uchawi upo asee. Dah nipo home na wife nikasikia bonge la mjambo kubabeki sasa ishu kuanza kulalamikiana nani kajamba.
Amekimbia faster chumbani nikajua anakwepa harufu na kunikwepa mimi kumbe alikimbilia pafyumu kwa ajili ya kupulizia.
Bana wewe nikajikuta na mimi namkimbilia nijuee labda kajamba yeye maana alikuwa ananituhumu. Cha kushangaza tumeingia chumbani harufu hakuna sasa kuanza kunusana bana hakuna kitu ndio tukaanza kushangaa kurudi sebuleni harufu bado ipo ya ukweli tena ilizidi upande niliokuwa nimekaa bana.
Baada ya hapo wife akasema itakuwa harufu inatoka nje. Kutoka nje kuhakikisha labda inatokea nje hakuna kitu pako safi kabisa.
Naomba kuuliza wazoefu je ilisha wahi kumtokea mtu?
Na je wana maana gani hawa au huyu mtu na nifanye nini kukomesha hii tabia maana hii si mara moja.
Mara nyingi inatokea hali hii mpaka inazua ugomvi wa nani kajamba. Nimeshtuka sana.