Mzalendowavita
Member
- May 13, 2017
- 96
- 37
Nimejenga nyumba katika eneo ambalo halijapimwa na serikali, je naweza pata hati ya nyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naipata wapi hiyo sera ya lukuvi ndugu maana hata me mdogo mdogo soon ntamaliza mjengo ila nina vibali vya serikali ya mtaa tu na kitambulisho cha umiliki WA eneo ambacho kinatunza kumbukumbu za wamiliki makazi na viwanja eneo husika.soma sera ya waziri Lukuvi vizuri kisha nijibu kama huo uwanja umeununua mbele ya serikali ya mtaa au umerithi