Habari pole sana na asante kwa kutuambia naomba uniambie dawa gani hiyo ulinunua kwa sababu na mie pia nimenunua hiyo dawa ya glutathione ivory cost vidonge nataka nile kama vinazuru hv pia naomba mniambie nitaviuzq manake hata sijafungua bado na nimesearch net kote wnasema havina side effects je nyie ndugi zangu nisaidieni mtanzania mwenzenu
unlucky
Wee mdada mbona unashingo ngumu kiasi hicho?Ushuhuda umeupata kwa mwanamke mwenzio hapo juu,lkn bado unashauku ya kutaka kumeza hayo mapembe ya ndovu.
KWELI LUCIFER AKIKUNG'ANG'ANIA ILI AKUPOTEZE/AKUMALIZE BASI UNAHITAJI MAOMBI YA NGUVU,ili kumshinda huyo ibilisi.
Mdada
unlucky fikri kabla ya kufanya uamuzi,hebu chukulia mkasa ulompata mwanamke mwenzio hapo juu kama ndoo kitu ambacho kitakuja kukupata siku za usoni.Kwa sasa kiukweli lucifer unakutafuta sana na hatoacha kukufuatafuata mpaka utakapo achana na hayo mawazo,Ujuwe wewe unapotafuta ushauri kuhs kutumia/kutotumia hizo vidonge ujue unamuuliza shetani khs effect za hivyo vidonge,na shetani kamwe hawezi kukuambia ukweli,Atakufichaficha tuu kama unavyoodai ume google na hujaona madhara ya hizo dawa.
Cha kufanya wee ungewauliza Watumishi wa Mungu,na viongozi mbalimbali wa Dini watakupa ushauri mzuri tuu.
Na hata hivyo majina wakti mwingne yanachangia Shetani akufuatefuate majina kama ID yako na mengine yanayofanana na hayo kama Tabu,Mateso,Sikujuwa,Matatizo,Shida Maajabu n.k Shetani huwa hachezi mbali na majina hayo.
Na aliye kushauri ununue hizo dawa hakika hana nia njema na wewe au kama na yeye anatumia/ alishawahi kutumia basi ali/amepotea hajui alitendalo, mungu amsamehe Buree maana hajui ali tendalo/semalo.
Tena ningekuwa nae karibu,huyo mshauri wako ningemtandika fimbo 48.asbh 12 jioni 12,asbh tena 12 na jion 12.Mpuuzi sana huyo mtu.
Haya mdada Usije Sema huku shauriwa.
"Enjoy your Self"