Nimejifunza kwamba wale ambao hawakutafuti ukiwa kimya ndio ambao huwa hawa kumiss kabisa

Nimejifunza kwamba wale ambao hawakutafuti ukiwa kimya ndio ambao huwa hawa kumiss kabisa

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241127_121814_Google.jpg

Nimejifunza kwamba wale ambao hawakutafuti ukiwa kimya ndio ambao huwa hawa kumiss kabisa

Na hao ambao hawa kumiss huwa hawakujali pia

Maisha yana amua nani ataingia katika maisha yako lakini wewe binafsi utaamua nani aendelee kuwepo katika maisha yako

Ukweli huwa unaumiza mara moja ila uwongo unaumiza mara nyingi zaidi

Na wale ambao wana kuumiza kuna somo wanakufundisha

Wale ambao wanakukosoa wanakufanya uwe na hamu ya kupambana zaidi

Na wale wanaokuonea wivu wanakufanya ujisikie wewe ni muhimu zaidi

Ni hayo tu!
 
View attachment 3163104
Nimejifunza kwamba wale ambao hawakutafuti ukiwa kimya ndio ambao huwa hawa kumiss kabisa

Na hao ambao hawa kumiss huwa hawakujali pia

Maisha yana amua nani ataingia katika maisha yako lakini wewe binafsi utaamua nani aendelee kuwepo katika maisha yako

Ukweli huwa unaumiza mara moja ila uwongo unaumiza mara nyingi zaidi

Na wale ambao wana kuumiza kuna somo wanakufundisha

Wale ambao wanakukosoa wanakufanya uwe na hamu ya kupambana zaidi

Na wale wanaokuonea wivu wanakufanya ujisikie wewe ni muhimu zaidi

Ni hayo tu!
Utarogwa kijana fanya mambo yako. Mm binafsi ukinitafuta tafuta ndo nazidi kukukataa mana unajiweka karibu kujua mambo ambayo pengine hustahil kujua. So wasiokutafuta wanakunyima mbaazi, mashuzi kwako yatapungua
 
Lazima tukubali kubadilika,na mabadiliko yatatoka kwetu wenyewe kama tutataka kweli mambo yawe tofauti na yalivyo tawala yoyote asipotokea wa kubadili uelekeo wote mtafanana.

Mimi miaka miwili nyuma niliwaza kuhusu hili,yaani ndani ya mji ninaoishi nina ndugu wa damu 17 lakini mara ya mwisho tulikutana 2014 kwenye msiba wa baba mdogo tukabadilishana namba za simu baada ya pale kimya hakuna hata aliyem-text mwenzake so nikajisemea tu jinsi ninavyosubiri mimi kupigiwa nao wanasubiri hivyo ngoja niwapigie mwenyewe,nikakuta na wengine namba walishafuta hivyo ikabidi nijitambulishe upya na ambao pia namba zao nilifuta nikazitafuta nikawapigia.

Kwa mwaka nimejitengea miezi sita,weekend moja naamua tu nipige simu kwa ndugu wote story mbili tatu halafu “bwana nilikuwa nakujulia hali na familia yako wasalimie sana”,ndugu akisikia hivyo hata ile furaha yake unaisikia ilivyotamalaki hata sasa wengine wameshaiga mtindo huu siyo ajabu kukuta simu inaita unakuta ni bro au binamu anapiga kukusalimia,mabadiliko yaanze na sisi tunaokereka.
 
Nakuona baby wake Pearl Watts🌝
Daaah jamn hili jina ukitaja mi napagawa aiseeee daaah...

Pearl watts kwann anapenda kuigiza kama shangingi hvi ahahaha aiseeee...

Mkuu unefatilia mizigo mipya kama blood sisters na oloture journey...
Humu pearl watts ana pigo zake hzo hatariii
 
Lazima tukubali kubadilika,na mabadiliko yatatoka kwetu wenyewe kama tutataka kweli mambo yawe tofauti na yalivyo tawala yoyote asipotokea wa kubadili uelekeo wote mtafanana.

Mimi miaka miwili nyuma niliwaza kuhusu hili,yaani ndani ya mji ninaoishi nina ndugu 17 lakini mara ya mwisho tulikutana 2014 kwenye msiba wa baba mdogo tukabadilishana namba za simu baada ya pale kimya hakuna hata aliyem-text mwenzake so nikajisemea tu jinsi ninavyosubiri mimi kupigiwa nao wanasubiri hivyo ngoja niwapigie mwenyewe,nikakuta na wengine namba walishafuta hivyo ikabidi nijitambulishe upya na ambao pia namba zao nilifuta nikazitafuta nikawapigia.

Kwa mwaka nimejitengea miezi sita,weekend moja naamua tu nipige simu kwa ndugu wote story mbili tatu halafu “bwana nilikuwa nakujulia hali na familia yako wasalimie sana”,ndugu akisikia hivyo hata ile furaha yake unaisikia ilivyotamalaki hata sasa wengine wameshaiga mtindo huu siyo ajabu kukuta simu inaita unakuta ni bro au binamu anapiga kukusalimia,mabadiliko yaanze na sisi tunaokereka.
Shukrani boss kwa story yako,kuna kitu umetufundisha hapa, kwamba wakati mwingine mabadiliko ni sisi wenyewe

Ni swala la kusogea hatua moja tu na wengine wanafuata,kuna mshikaji wangu mmoja nae ana utaratibu kila ijumaa lazima utapata text yake whatsapp

Ila nimecheka hapo uliposema kuna wengine walifuta namba na kuanza kujitambulisha upya
 
Daaah jamn hili jina ukitaja mi napagawa aiseeee daaah...

Pearl watts kwann anapenda kuigiza kama shangingi hvi ahahaha aiseeee...

Mkuu unefatilia mizigo mipya kama blood sisters na oloture journey...
Humu pearl watts ana pigo zake hzo hatariii
Nimezipumzisha siku hizi
 
Back
Top Bottom