mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 758
Nimejifunza leo kwamba ili usinzie fofofo, ndani ya dakika 90 unapitia stages kadhaa. Kuna mbili ambapo mojawapo ni majanga.
1. REM: Ambayo unakua umesinzia unconscious ila una uwezo wa ku move your muscles.
2. SLEEP PARALYSIS. Hii stage ndio huwa inanipata na mimi. Unakua umelala fofofo, then inafikia point nusu unakuwa umeamka (half asleep) halafu huna uwezo kumuvuzisha muscles zako.. Unaweza kuona vitu vya ajabu au hata kuongea na mtu ambae una feel uwepo wake. Ila huwezi ku move kabisaa. Hii ndio inaitwa sleep paralysis.
Nilipokua teenager nilikua najilazimisha kustuka na kupiga kelele.. Ukubwani saa hizi natulia tu mpaka inaisha yenyewe nastuka na kuendelea kulala.... though ni mtihani sometimes kujiaminisha hii ni ndoto tu au mpaka nawasha taa kuhakiki hakuna kitu..
Sijui nanyi wenzangu...
1. REM: Ambayo unakua umesinzia unconscious ila una uwezo wa ku move your muscles.
2. SLEEP PARALYSIS. Hii stage ndio huwa inanipata na mimi. Unakua umelala fofofo, then inafikia point nusu unakuwa umeamka (half asleep) halafu huna uwezo kumuvuzisha muscles zako.. Unaweza kuona vitu vya ajabu au hata kuongea na mtu ambae una feel uwepo wake. Ila huwezi ku move kabisaa. Hii ndio inaitwa sleep paralysis.
Nilipokua teenager nilikua najilazimisha kustuka na kupiga kelele.. Ukubwani saa hizi natulia tu mpaka inaisha yenyewe nastuka na kuendelea kulala.... though ni mtihani sometimes kujiaminisha hii ni ndoto tu au mpaka nawasha taa kuhakiki hakuna kitu..
Sijui nanyi wenzangu...