Mungi unavyoshabikia kutaka kuvunja ndoa yangu na Dena Amsi
Wapi aise umeniona na Kabakabana mkuu
Filipo wivu tuu huo si useme unamtaka sweetlady ili yaishe na mkeo marejesho nae ajue kuwa unatembea nje ya ndoa
Dena Amsi pole sana aise naamini umeshapata nafuu now na ushajifunza jambo hapo
Pole sana achana na akina Mungi na Filipo wanakupa stress bure
wadogo zangu Young Master na Kipipi salama? mi nawacheki tu! Dena Amsi pole sana rafiki yangu...... hawa watu ni kweli wanatuletea sana stress, lakini jitahidi usiende kwenye BP bwana....... Get well soon my dear
Na nyie mmezidi kushobokea masharobaro BTW pole sana
Ndo mnavyoanzaga hivyo, mie nawaangaliaga tu kwa pembeni,
Niombeeni ni matokeo ya Stress za wanaume nyie lakini nyie aaahhh
Nasikia kulala sababu ya dawa na sindano za kujaribu kushusha BP
Niombeeni wapendwa.
DA
Updates
Wapendwa nawashukuruni woote asanteni sana muendelee kuniombea bado niko Hospital ila imetolewa kwnye oksijemi.
Mungu awabariki sana
wadogo zangu Young Master na Kipipi salama? mi nawacheki tu! Dena Amsi pole sana rafiki yangu...... hawa watu ni kweli wanatuletea sana stress, lakini jitahidi usiende kwenye BP bwana....... Get well soon my dear
Na nyie mmezidi kushobokea masharobaro BTW pole sana
Niombeeni ni matokeo ya Stress za wanaume nyie lakini nyie aaahhh
Nasikia kulala sababu ya dawa na sindano za kujaribu kushusha BP
Niombeeni wapendwa.
DA
Updates
Wapendwa nawashukuruni woote asanteni sana muendelee kuniombea bado niko Hospital ila imetolewa kwnye oksijemi.
Mungu awabariki sana
pole sana dear......mimi ikinitokea hivyo....huwa siruhusu BP..Engen....Shell wala Oryx vinipate......ni kula bata kwa kwenda mbele na kumdharau tu ze maksimam.....tupa kule hiyo.......