Nimejikuta KIGOMA

Hii wilaya kila Bar kuna wadada wanajiuza live japo hawavai kimalaya ila unakuta wamejaa bar na wengine nje wamesimama,

Ni noma sana
Walipaita makaburi wazi maana ilikuwa sehemu ya danguro...Sijajua kwasasa kama bado ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…