Nimejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukutana na mwanamke huyu: Nifanye Nini?

Nimejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukutana na mwanamke huyu: Nifanye Nini?

Mona_tz

Member
Joined
May 3, 2020
Posts
6
Reaction score
7
Wakubwa, habari za kazi. Nimeona nilete kwenu tuweze kupena ushauri na elimu pia.

Bana, juzi kati kama wiki mbili nyuma, kwenye pita pita zangu nikaonana na mwanamke mkubwa kiumri, vijana tunaita mshangazi. Umri wake kama alivyonieleza ni kweli umeenda (miaka 49). Stori za hapa na pale, kijana wa watu nikapewa namba, kwa kawaida nikaanza bura bura zangu za kumsifia. Mwisho wa siku akaona kijana ndo uyu sasa. Siku kadhaa mbele, baada ya kuwa tunachati sana, tukapeana miadi ya kukutana ili tujuane vizuri. Bana, nikajiset vizuri nikaenda kuonana na mshangazi wangu maeneo fulani hivi. Mwisho wa siku kilichotokea, tulijikuta tumetamaniana kila mtu akatamani kuonja utamu wa mwenzake.

Kiukweli, mshangazi yuko vizuri kuanzia sura, tako, hata mwonekano wake pia. Tumetamaniana, ikabidi anipeleke kwake. Mimi mwenyewe sijui zilikua ni nyege wala sikuwaza anakaana nani, nilijipa imani tu. Kufika kwake, hakukuwa na stori nyingi zaidi ya kupeana burudani. Sasa kibaya ni kwamba, kwenye kupeana utamu wote tulijikuta tumesahau kutumia kondomu. Ko tulipeana ivo ivo nyama kwa nyama. Ko show yenyewe tuliifanya part 1 & 2 kwa maana mbele na nyuma.

Wakubwa, baada ya kutoka hapo nilianza kuwaza kwa nini nimelala na mshangazi bila kutumia kondomu. Isitoshe, wote hatujuani hali zetu kiafya. Ko moja kwa moja kesho yake asubuhi, nilitoka nikaelekea hospitali ya Magomeni. Ikabidi nimtafute daktari mmoja na kumwambia ili anipe dawa/vidonge vya kuzuia UKIMWI ndani ya masaa 72. Mpaka sasa niko kwenye dozi. Saa, nimetumia vidonge naona kabisa tunakoelekea vitanishinda. Jamani, hivi vidonge ni kiboko.

Nimeshakunywa vidonge 10, bado 18, ila ni kama nimekunywa vidonge 100. Natamani kujua ukweli kuhusu mshangazi kama yuko positive au negative, nisije kuwa nakunywa vidonge kumbe ni mzima. Mnisaidie jamani, nimwambieje ili nijue ukweli?
 
laugh.png
 
Ni hisia za kawaida za majuto baada ya ashki kuisha. Sasa ishi na matokeo ya ulichofanikiwa kufanya. Ikitokea ukawa umeupata ukimwi iwe balozi mzuri wa kufunza vijana wenzako. Ikiwa hujaupata shukuru Mungu na ubadili njia zako.
 
Yaani dogo badala ya SO unaandika KO? Mzima kweli wewe?
 
Wakubwa, habari za kazi. Nimeona nilete kwenu tuweze kupena ushauri na elimu pia.

Bana, juzi kati kama wiki mbili nyuma, kwenye pita pita zangu nikaonana na mwanamke mkubwa kiumri, vijana tunaita mshangazi. Umri wake kama alivyonieleza ni kweli umeenda (miaka 49). Stori za hapa na pale, kijana wa watu nikapewa namba, kwa kawaida nikaanza bura bura zangu za kumsifia. Mwisho wa siku akaona kijana ndo uyu sasa. Siku kadhaa mbele, baada ya kuwa tunachati sana, tukapeana miadi ya kukutana ili tujuane vizuri. Bana, nikajiset vizuri nikaenda kuonana na mshangazi wangu maeneo fulani hivi. Mwisho wa siku kilichotokea, tulijikuta tumetamaniana kila mtu akatamani kuonja utamu wa mwenzake.

Kiukweli, mshangazi yuko vizuri kuanzia sura, tako, hata mwonekano wake pia. Tumetamaniana, ikabidi anipeleke kwake. Mimi mwenyewe sijui zilikua ni nyege wala sikuwaza anakaana nani, nilijipa imani tu. Kufika kwake, hakukuwa na stori nyingi zaidi ya kupeana burudani. Sasa kibaya ni kwamba, kwenye kupeana utamu wote tulijikuta tumesahau kutumia kondomu. Ko tulipeana ivo ivo nyama kwa nyama. Ko show yenyewe tuliifanya part 1 & 2 kwa maana mbele na nyuma.

Wakubwa, baada ya kutoka hapo nilianza kuwaza kwa nini nimelala na mshangazi bila kutumia kondomu. Isitoshe, wote hatujuani hali zetu kiafya. Ko moja kwa moja kesho yake asubuhi, nilitoka nikaelekea hospitali ya Magomeni. Ikabidi nimtafute daktari mmoja na kumwambia ili anipe dawa/vidonge vya kuzuia UKIMWI ndani ya masaa 72. Mpaka sasa niko kwenye dozi. Saa, nimetumia vidonge naona kabisa tunakoelekea vitanishinda. Jamani, hivi vidonge ni kiboko.

Nimeshakunywa vidonge 10, bado 18, ila ni kama nimekunywa vidonge 100. Natamani kujua ukweli kuhusu mshangazi kama yuko positive au negative, nisije kuwa nakunywa vidonge kumbe ni mzima. Mnisaidie jamani, nimwambieje ili nijue ukweli?
Doh ayseee vijana mna angamia yaani unavyoandika mbele na nyuma ni dhahiri tosha umejaa laana
Nakuombea uache huo ufirauni
 
Ndio mkomege kuvamia vamia

Ko hapo presha kama yote???
Ingetakiwa kusiwe nahizo kinga za hayo magonjwa ya zinaa ndio akili zikae sawa

Cc Smart911
 
Wakubwa, habari za kazi. Nimeona nilete kwenu tuweze kupena ushauri na elimu pia.

Bana, juzi kati kama wiki mbili nyuma, kwenye pita pita zangu nikaonana na mwanamke mkubwa kiumri, vijana tunaita mshangazi. Umri wake kama alivyonieleza ni kweli umeenda (miaka 49). Stori za hapa na pale, kijana wa watu nikapewa namba, kwa kawaida nikaanza bura bura zangu za kumsifia. Mwisho wa siku akaona kijana ndo uyu sasa. Siku kadhaa mbele, baada ya kuwa tunachati sana, tukapeana miadi ya kukutana ili tujuane vizuri. Bana, nikajiset vizuri nikaenda kuonana na mshangazi wangu maeneo fulani hivi. Mwisho wa siku kilichotokea, tulijikuta tumetamaniana kila mtu akatamani kuonja utamu wa mwenzake.

Kiukweli, mshangazi yuko vizuri kuanzia sura, tako, hata mwonekano wake pia. Tumetamaniana, ikabidi anipeleke kwake. Mimi mwenyewe sijui zilikua ni nyege wala sikuwaza anakaana nani, nilijipa imani tu. Kufika kwake, hakukuwa na stori nyingi zaidi ya kupeana burudani. Sasa kibaya ni kwamba, kwenye kupeana utamu wote tulijikuta tumesahau kutumia kondomu. Ko tulipeana ivo ivo nyama kwa nyama. Ko show yenyewe tuliifanya part 1 & 2 kwa maana mbele na nyuma.

Wakubwa, baada ya kutoka hapo nilianza kuwaza kwa nini nimelala na mshangazi bila kutumia kondomu. Isitoshe, wote hatujuani hali zetu kiafya. Ko moja kwa moja kesho yake asubuhi, nilitoka nikaelekea hospitali ya Magomeni. Ikabidi nimtafute daktari mmoja na kumwambia ili anipe dawa/vidonge vya kuzuia UKIMWI ndani ya masaa 72. Mpaka sasa niko kwenye dozi. Saa, nimetumia vidonge naona kabisa tunakoelekea vitanishinda. Jamani, hivi vidonge ni kiboko.

Nimeshakunywa vidonge 10, bado 18, ila ni kama nimekunywa vidonge 100. Natamani kujua ukweli kuhusu mshangazi kama yuko positive au negative, nisije kuwa nakunywa vidonge kumbe ni mzima. Mnisaidie jamani, nimwambieje ili nijue ukweli?
Mbulula sana dogo, si ungoje matokeo tu dogo
 
Ujinga mzigo...ko na ww ukaona upite na mshangazi tena kinyume na maumbile...ko unataka tukusaidieje...pumbaavuuuu...
 
Back
Top Bottom