Nimejikuta nampenda huyu mdada wa JF

Status
Not open for further replies.
Siwezi kumind leo weekend...

Najua unabembeleza mpaka mtu anaweza toa kanyumba ka urithiii...

Huyo ulomtag ni nani eti..Huyo Noted
Hahaha.... hapo nimesoma vibaya au macho yangu?

Umesema unatoa unyumba wa urithi au nyumba ya urithi...huo unyumba wa urithi vipi?

Huyo noted jina lako la kimahaba..usiniangushe bana.
 
Hahaha.... hapo nimesoma vibaya au macho yangu?

Umesema unatoa unyumba wa urithi au nyumba ya urithi...huo unyumba wa urithi vipi?

Huyo noted jina lako la kimahaba..usiniangushe bana.
Hahahahaha
Umesoma vibaya bana ni nyumba ya urithi
 
mkuu congrats .I thnk ur prayers has been answered. dnt wait no more jst go to her pm.it seems the madam is very understanding person.
 
Usichukie dear
Naomba utusamehe kama tumekukwaza, ni utani tuu kusogeza muda wala hakuna la zaidi dear!

Tusamehe tafadhali, halikuwa lengo letu kukukwaza dear!
Mumie, it can takes a lot of energy kunifanya nichukie, nadhani ni mtu ninayeongoza kucheka, na Leo kuanzia asubuhi nimeshinda tu nacheka humu, amani ya Bwana iwe nanyi najua ni utani..!!
 
Ouuh...usihonge wanaume aseeh....watakuumiza..mwanaume anapewa unyumba si nyumba.

Nikasema unyumba siku hizi warithiwa nao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante sana jamani kwa somo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…