Hapana saa hizi ni usikuUnawanga mchana
Ujue umenitisha sana mimi jamani
Kila la heri mkuuAhsante niombee mema labda anaweza kua ndio wangu wa maisha
Hongera mkuuBado hajaruhusu mwenyewe.. Yuko poa ndio kinachonivutia kwake
Vijana wengi hawapendi kufuata protakali za humu ndani. Kwanza kupenda sio kitu kibaya, lakini ili mtu apende basi anapaswa kupitia mambo kadhaa ili kukamilisha kile anacho kiaminiHivi huwa na jiuliza inawezekana vipi mtu kupenda id fake inayomilikiwa na mtu asiye mfahamu wala kumuona?
Hivi huwa na jiuliza inawezekana vipi mtu kupenda id fake inayomilikiwa na mtu asiye mfahamu wala kumuona?
Kama majukwaa tu mkuu...teh[emoji28]Mambo yapi hayo mengi?
Aisee...!!
Siku nikija iweka ID yangu fake ya Kike mtakuja kufa...
Madem wengi wamefunga PM zao.. So hizo protokali unazozimaanisha vijana wengi wanafeli..Vijana wengi hawapendi kufuata protakali za humu ndani. Kwanza kupenda sio kitu kibaya, lakini ili mtu apende basi anapaswa kupitia mambo kadhaa ili kukamilisha kile anacho kiamini
Endelea kushangaa..!!Mkuu,mwanamke kuja na ID ya kiume sio mbaya sana
Lakini wa kiume kujifanya wa kike ni dalili mbaya sana
Binafsi naombea usiwe na ID ya kike kama wewe ni wa kiume
Endelea kushangaa..!!
Wadada kufunga PM zao ni jambo la utashi mkuu, lakini ikiwa kijana atajitahidi kumtengeneza yule ambae amebamba hisia zake sio kitu mbaya pia.Madem wengi wamefunga PM zao.. So hizo protokali unazozimaanisha vijana wengi wanafeli..
So wanaamua kujilipua in open kama hivi.
Anamfikiaje sasa in privacy..!?Wadada kufunga PM zao ni jambo la utashi mkuu, lakini ikiwa kijana atajitahidi kumtengeneza yule ambae amebamba hisia zake sio kitu mbaya pia.
Ebu vijana watumie mbinu za kimedani kuliko kujilipua kama hivi na mwisho wanalipuka
Dah... [emoji44]Hata mimi nampenda huyo dada
Ni wivu tuKuna time huwa Nahis mnao Fungua nyuzi za kuvutiwa na watu flan humu ni nyie wenyew mnakuwa mmeamua kujipa promo kwa ID nyingine.