Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
- Thread starter
-
- #101
Kuna thread 2 ndo nikaona nigute mojaMbona umefuta maelezo yako mkuu? Hujiamini ama?
kwa sababu ni mwema anapenda kutoa. Kalike comments zote humuUnadhani kwanini ka-like comment yangu!
kwa sababu ni mwema anapenda kutoa. Kalike comments zote humu
Kwanini mkuu?Kwenye huu uzi mtu pekee anae jiona kasha yawin maisha ni uyu sweetlee
Basi hongereni kama fungu langu nitampata tu.Haina noma chief good luck. Wenye mali tunatulia tu hatuhitaji kutumia nguvu sana
Kesho nakufungulia uzi jinsi navyokupenda daahSijashangaa
Ndio nini kuvuta peke yenu wadau?
Kwenye lile tangazo lako la kutafuta mume si ajabu na mafurushi yalikuja [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hata mimi huwa hainiingii akilini.
Aliko bila shaka ni fulu magego indeed wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]Kwenye huu uzi mtu pekee anae jiona kasha yawin maisha ni uyu sweetlee
Atoto mwenzio nimekuelewa na id yako fakeHata mimi huwa hainiingii akilini.
Hapo haipendwi avatar mkuu, kinachopendwa ni thread na comments zao.Hivi huwa na jiuliza inawezekana vipi mtu kupenda id fake inayomilikiwa na mtu asiye mfahamu wala kumuona?
Aisee...!!
Siku nikija iweka ID yangu fake ya Kike mtakuja kufa...
Mkuu,mwanamke kuja na ID ya kiume sio mbaya sana
Lakini wa kiume kujifanya wa kike ni dalili mbaya sana
Binafsi naombea usiwe na ID ya kike kama wewe ni wa kiume
π π π π π πAisee...!!
Siku nikija iweka ID yangu fake ya Kike mtakuja kufa...
Sometimes Love emotions arise anywhere, And ain't guilty to say how you feel about someone whom you love.
Sio mchangiaji sana humu ila ni msomaji mzuri wa mada mbali mbali..
Nimejikuta navutiwa na mdada mmoja anaitwa SweetieLee
Ukiangalia uandishi wake (hua anaandika Lugha safi iliyonyooka either Eng or Swal) Utagundua ni msichana mmoja Smart, Self Determinant, Funny, Very straight Person, Adorable, Friendly kinda, Slef made girl, Care and Kindly Hearted to others..
Ni mengi mno nimeyaona kwa huyu mdada baada ya kufanya assessment kwa kutumia Post zake. Nachelea kusema nimempenda huyu mdada nasubiri Go ahead yake tu nimfuate Pm kama hatojali.
Nimekupenda bure we mdada ujiitae SweetieLee njoo uokoe jahazi lililobeba moyo wangu wenye upendo kwako, maana moyo wangu waona wewe ndio nahodha pekee unayeweza kufikisha jahazi hili pwani. Nakupenda sana
Amigo, Historia haipigiwagi makofi..tehAmigo Yetu Macho Na Masikio Tu
Aisee mna vipaji sana kuyaona haya .Mm mbona siyaonagi au ndio nasomaga haraka haraka??Ni mengi mno nimeyaona kwa huyu mdada baada ya kufanya assessment kwa kutumia Post zake. Nachelea kusema nimempenda huyu mdada nasubiri Go ahead yake tu nimfuate Pm kama hatojali.