Mwenyeji huyu. Kaanza na uzi wa kwanza eti "Demu mzuri alijamba wakiwa stationery" halafu huu mwandiko naufananisha na mtu fulani hivi, ngoja niendelee kufuatilia threads zake nitapata jibu.Acha kisebengo wewe new comer
Ila mwandiko wa kizoefu kabisa
Huyu ni mzoefu kabisa hata mungu anajuaMwenyeji huyu. Kaanza na uzi wa kwanza eti "Demu mzuri alijamba wakiwa stationery" halafu huu mwandiko naufananisha na mtu fulani hivi, ngoja niendelee kufuatilia threads zake nitapata jibu.
Hata mwandiko wake nimehisi kituHuyu ni mzoefu kabisa hata mungu anajua
Wageni huwa wanajulikana tu kwa avatar zao na jinsi wanavyoandika thredsHata mwandiko wake nimehisi kitu
Same person with another new ID.Nimeamua kuingia tu sababu nimegonga hodi sijaitikiwa na mtu..moderater , invisible, jamii forum wote wako kimya.
Nimeingia sebuleni hapa nimekuta soda nimeona niinywe tu hata sijui ni ya nani hii?
Nahisi yule anaejiitaga bujibuji bado yuko chooni anashusha mzigo.
Wengine sijui wako backyard... Jamaaaaaaani wenyewe nikaribisheni ngosha mfaransa.
Hodi hodi JF!