Nimejikuta nimekuwa mhanga wa utapeli na madeni. Nifanye nini?

Nimejikuta nimekuwa mhanga wa utapeli na madeni. Nifanye nini?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti.

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda.

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakula.

End of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei.

Wekness kubwa nilio nayo kuamini mtu kirahisi mapambo ya maisha nimeanza tangu nipo chuon nilikuwa mtu wakutopenda kuomba msaada sana hasa kwandugu kutokana na kauli zao mpaka kufika hapa ni asilimia ndogo sana ndugu wametia mkono wao.

But sijari ila nawaza kuwa kwanini wanitapel wasiniombe.
 
Unalia, unatoa taarifa, unatubu, unamjuza mchungaji, Mungu, shehe, hakimu, ukoo au nani hasa unachekesha sana au unataka na sisi tutoe shuhuda ?
 
Kumbe hela za urithi ndo maana unazigawa ki rahisi na unaambiwa nenda popote unabaki umetoa macho tu, mtu ana hela Yako Anatoa wap NGUVU ya kukwambia nenda popote?? Kwa akili hizi acha bandari iuzwe tu
 
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura

End of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei

Wekness kubwa nilio nayo kuamini mtu kirahisi mapambo ya maisha nimeanza tangu nipo chuon nilikuwa mtu wakutopenda kuomba msaada sana hasa kwandugu kutokana na kauli zao mpaka kufika hapa ni asilimia ndogo sana ndugu wametia mkono wao

But sijari ila nawaza kuwa kwanini wanitapel wasiniombe
Weakness yako si kuamini watu bali kutoshirikisha ubongo na kutopenda kuingia field mwenyewe.
 
hAta mimi kuna wajinga wamenifanyia huo ujinga wa hvyo ila kuanzia sasa sizan kama nitaweza kumkopesha mtu hela

Sahv mtu akija anataka kukopa naanza kumuorodheshea ninao wadai,namwambia pesa iko kwa watu asubir niipate,

Watu ni wajinga sana,kuna wengine mpaka walikuwa wanaweka mashamba au viwanja lakin anachofanya ili nisikichukue analeta hela nusu nyingine anabak nayo

Kwasasa hawatanipata tena
 
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura

End of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei

Wekness kubwa nilio nayo kuamini mtu kirahisi mapambo ya maisha nimeanza tangu nipo chuon nilikuwa mtu wakutopenda kuomba msaada sana hasa kwandugu kutokana na kauli zao mpaka kufika hapa ni asilimia ndogo sana ndugu wametia mkono wao

But sijari ila nawaza kuwa kwanini wanitapel wasiniombe
Inaonekana watu wanaokutapeli washakusoma kuwa una ingilika kirahisi sana.

Ili usiwe mhanga inakupasa uwe mgumu hasa linapokuja swala la pesa, pia uidhibiti tamaa ya mafanikio kwa kutumia akili badala ya kutumia hisia.

Na cha msingi zaidi iamini zaidi akili yako badala ya kuamini watu hata mm ninaeandika hapa usitake kuamini sana maandishi yangu ila ya chunguze kwa akili yako uchuje pumba na mchele.
 
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti.

Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda.

Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakula.

End of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei.

Wekness kubwa nilio nayo kuamini mtu kirahisi mapambo ya maisha nimeanza tangu nipo chuon nilikuwa mtu wakutopenda kuomba msaada sana hasa kwandugu kutokana na kauli zao mpaka kufika hapa ni asilimia ndogo sana ndugu wametia mkono wao.

But sijari ila nawaza kuwa kwanini wanitapel wasiniombe.

Unatakiwa umrudie Mungu wako!
 
Back
Top Bottom