Nimejikuta tu nawapenda Magaidi na Genious Robbers

Nimejikuta tu nawapenda Magaidi na Genious Robbers

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
...huwa nikisoma na kufanya tafiti za wale magaidi wenye akili nyingi na wapangaji wa matukio magumu na kuyatekeleza nimejikuta kuvutiwa na uwezo huu wa hali ya juu. Mfano mtu anapanga tukio kwa miaka mitano na kulikamilisha bila kustukiwa na mamlaka za juu za kijasusi huwa navutiwa na kuona kuwa hawa watu wana extraordinary capacity, hata wakiuawa huwa sijisikii vizuri. I wish nguvu hizo za ajabu za bongo zao wangezielekeza ktk issues za maendeleo dunia ingekuwa mbali. Masuala kama haya yangepata suruhisho;
1. Binadamu kutembea juu ya maji kwa kujitegemea
2. Binadamu kuelea angani bila vifaa suppotive
3. Binadamu kupia ukutani bila kipingamizi
4. Binadamu kuivuta sauti ya mtu wa zamani mf Yesu na kuileta ktk uhalisia wake kwa muda huu ingewezekana
5. Binadamu kuumba kwa kutamka ingewezekana.

Kuwaua watu kama Osama, Mafia leaders, Ghadafi Zel kawi n.k ni wastage of unique gifted people in the world.
 
...huwa nikisoma na kufanya tafiti za wale magaidi wenye akili nyingi na wapangaji wa matukio magumu na kuyatekeleza nimejikuta kuvutiwa na uwezo huu wa hali ya juu. Mfano mtu anapanga tukio kwa miaka mitano na kulikamilisha bila kustukiwa na mamlaka za juu za kijasusi huwa navutiwa na kuona kuwa hawa watu wana extraordinary capacity, hata wakiuawa huwa sijisikii vizuri. I wish nguvu hizo za ajabu za bongo zao wangezielekeza ktk issues za maendeleo dunia ingekuwa mbali. Masuala kama haya yangepata suruhisho;
1. Binadamu kutembea juu ya maji kwa kujitegemea
2. Binadamu kuelea angani bila vifaa suppotive
3. Binadamu kupia ukutani bila kipingamizi
4. Binadamu kuivuta sauti ya mtu wa zamani mf Yesu na kuileta ktk uhalisia wake kwa muda huu ingewezekana
5. Binadamu kuumba kwa kutamka ingewezekana.

Kuwaua watu kama Osama, Mafia leaders, Ghadafi Zel kawi n.k ni wastage of unique gifted people in the world.
Mchawi mwenyewe hua ni nouma,sema tu tumewazoea ndo mana tunawachukulia poa ila siyo watu wa kawaida
 
Naweza sema jambo fulani kuhusu hilo ni kwamba,kama umejaaliwa kitu cha ziada halafu ukajitambua ni kweli unacho basi ni bora hicho kitu au hiyo elimu uitumie kwa manufaa yako na watu wengine ktk nyanja za kuleta tija zaidi ktk maisha yetu ya kila siku ,lkn kinyume chake ukatumia uwezo wako wa akili kwa kuleta madhara kwa wengine hilo si sawa kabisa.
 
kuna jamaa aliitwa abou ahmed al kuwait... alikuwa messanger wa osama... ni hatari sana akili ya huyu mtu bila kumtrack huyu jamaa kwa a lot of years osama wasingempata
 
Waasi, Maharamia, Wezi wa kubwa nk ni watu wenye akili sawa au zaidi ya mamlaka... Ni haki yako kusisimkwa nao, wanastahili!
 
Challenges is Mother of creativity,innovation and people embracing out of their comfort zone..
 
Ebu taja na movie zilizoonesha watu wenye uwezo huo maana simulizi za The bold zinakosa picha na sauti.
 
Siku wakipiga tukio likamkuta ndugu yako wa karibu either mama yako au baba yako uje utupe mrejesho wa ushabiki wako kwa watu hao..
Osama kaua maelfu ya watu wasio na hatia ww unamshabikia...siku ndugu zako wakikumbwa na balaa la watu kama hao ndio utakielewa ulichokiandika leo
 
succinate coA hydrogenase wewe ulimuona osama tu huyo mmarekani anavyoua kila kukichaa yy hn kosa huyo osama mwenyewe ni product ya marekani so gaidi sio osama bali huyo anayetengeneza magaidi ndiye gaidi number moja
 
Back
Top Bottom