Nimejikuta tu nayaamini haya maneno ya Hayati Magufuli

Nimejikuta tu nayaamini haya maneno ya Hayati Magufuli

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Aliyasema hayati JPM kwenye hotuba yake ya kwanza bungeni 2015.
Leo nimejikuta nayaamini haya maneno..




Mama sijui unakwama wapi? Watanzania sio wajinga wanaona kinachoendelea shtuka mapema.
 
Aliyasema hayati JPM kwenye hotuba yake ya kwanza bungeni 2015.
Leo nimejikuta nayaamini haya maneno..


View attachment 2431360

Mama sijui unakwama wapi? Watanzania sio wajinga wanaona kinachoendelea shtuka mapema.
Bahati mbaya tupo kwenye nchi ya wajinga na wasiojitambua elimu inayotolea na serikali ni ya kiwango cha chini mno wasomi wapo wengi ila hawajitambui..

Nothing can change.

Acha nipambanie kula yangu na familia yangu mie.
 
Aliyasema hayati JPM kwenye hotuba yake ya kwanza bungeni 2015.
Leo nimejikuta nayaamini haya maneno..


View attachment 2431360

Mama sijui unakwama wapi? Watanzania sio wajinga wanaona kinachoendelea shtuka mapema.
 
Samia ni kama kakabidhiwa jezi afu mchezo hauelewi anabutua butua tu.
 
Mma Leo anakula PhD yake bila kuzoteaa ,neema ikija imekuja tu
 
Back
Top Bottom